Zanzibar 2020 Dkt. Hussein Mwinyi chaguo sahihi kwa Wazanzibar

JOYOPAPASI

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
250
408
Dk. Hussein Mwinyi chaguo
sahihi kwa Wazanzibar

Na Hamis Shimye

ZANZIBAR na Wazanzibari kwa ujumla wake kwa awamu hii inaenda tena kupata kiongozi aliye bora zaidi na mwenye maono ya pekee katika ukombozi wa Mzanzibari mwenyewe na hata kwenda kuenzi mapinduzi ya Zanzibar ambayo ndio alama ya ukombozi wa Zanzibar na huyo si mwingine bali ni Dk. Hussein Ali Mwinyi.

Dhana hii inajengwa kutokana na washindani wa mgombea wa Urais wa Zanzibar, Dk. Mwinyi waliojitokeza si watu wenye uwezo wa kusimama naye katika kuendeleza maendeleo makubwa yaliyopatikana na kuletwa na Chama Cha Mapinduzi(CCM), visiwani humo toka mwaka 1964 pale alipondolewa madarakani Sultani na serikali yake.

Lengo lilikuwa ni kumkomboa Mzanzibar na madhira aliyokuwa nayo enzi za Msultan, ambapo katika kitabu cha masimulizi ya Sheikh Thabit Kombo Jecha, kilichoandikwa na mwandishi Minael-Hosanna Mdundo, Sheikh Kombo anasimulia kuwa “Tumesononeka kwa sababu matumaini yetu yote ya kuupata uhuru wa nchi yetu kwa njia ya vote (kura) yalikuwa yamefutika".

Kitabu hicho kimeelezea mambo mengi, ambayo kwa ujumla Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimeyaenzi toka kwa aliyekuwa Rais wa kwanza, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume na sasa wakati huu ambao Rais Dk. Ali Mohamed Shein, anamaliza muda wake wamefanya mambo makubwa mno na hata kutoa taswira kuwa CCM imekidhi haja na tamanio la Wazanzibar katika kuwaletea maendeleo yao.

Dk. Mwinyi ni tumaini linalokwenda kuendeleza maendeleo yaliyofanywa na viongozi waliotangulia kutokana na kuwa ni kiongozi mwanamageuzi anayekwenda kuleta chachu ya maendeleo kwa Mzanzibar na Zanzibar kwa ujumla, kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa kiongozi na wa kuleta maendeleo kwa Wazanzibar, ambao wako mstari wa mbele katika kuendeleza maendeleo waliyoyapata.

Zanzibar inahitaji kiongozi bora mwenye maono ya kusukuma gurudumu la maendeleo lililopo sasa, ambapo sifa za kiongozi huyo anazo Dk. Mwinyi, ambaye amekuwa kiongozi mwenye kujua tafsiri na maana ya uongozi. Dk. Mwinyi ni mfuatiliaji wa mambo, mtendaji kazi, mchukia rushwa kwa vitendo, mpenda maendeleo ya Zanzibar na Wazanzibar kwa ujumla, ambaye ni mtu sahihi wa kushirikiana na Rais Dk. John Magufuli.

Siasa za Zanzibar inahitaji mtu anayepata Urais kwa kusukumwa na tamanio la kuondoa umaskini na kuleta maendeleo na sio mtu anayegombea kwa kupewa fedha na watu au mataifa ya nje ili aweze kupenyeza agenda yao wanayoitaka kwa Wazanzibar. Dk. Mwinyi amekuwa askari mwaminifu katika kuutukuza Uzanzibar na kuleta maendeleo kwa wananchi wa visiwani humo.

Hii inatokana na toka alipochukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM na baadae kupitishwa na Chama kuwa mgombea wake, anayesubiri kuchukua fomu siku Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) itakapotangaza amekuwa mtu mwaminifu, mwadilifu, asiyekuwa na makuu na mtu aliyeridhika na kipato ambacho MwenyeziMungu amemruzuku na hata kutokuwa na tamaa. Huyu ni kiongozi anayefaa kwa siasa za Zanzibar atakayekwenda kushirikiana na Dk. Magufuli

Dk. Mwinyi ni mtu mwenye uthubutu na kama taifa hasa Zanzibar wapo kwenye kipindi na hatua muhimu ya kidemokrasia wakati wanapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, hivyo wanapaswa kumtazama Dk. Mwinyi kama mboni na wasikubali kumpoteza kwani ni mtu anayekwenda kulinda Muungano na kuleta maendeleo ya dhati ya Mzanzibar na si kwenda kuendeleza siasa za 'usultani' kama wengine.

Ubora na uimara wa Dk. Mwinyi kiueledi na kiutumishi ndio mambo yanayomtofautisha na wagombea wengine, ambapo yeye ana sifa za upekee na utofauti wake wa uongozi na anastahili kupewa nafasi ya kuwa Rais wa Zanzibar na sio vinginevyo, huu si upendeleo bali ni ukweli wa kimantiki unaotumia mifumo ya kisiasa kumtambua mtu kulingana na sifa zake za kiuongozi, ambazo zote anazo Dk. Mwinyi.

Japokuwa Zanzibar ilishakombolewa kutoka kwenye makucha ya wakoloni, Dk. Mwinyi ni atazidi kuikomboa Zanzibar kifalsafa, kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni, upekee wa kiuongozi aliokuwa nao unasimama katika falsafa ya uweledi, utashi, misimamo na maamuzi ikiwa ni pamoja na kuiva kiitikadi na kitaaluma katika nafasi zote alizoshika ikiwemo ya Uwaziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mantiki hiyo, Dk. Hussein Ali Mwinyi ni chaguo tosha kwa CCM katika kuhakikisha anapeperusha vyema bendera ya chama hicho tawala katika kinyanganyiro cha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, kwa kuwa wamempata mgombea sahihi mwenye uwezo na utayari wa kusimamia mapinduzi ya Zanzibar na kuishi kwenye kutekeleza zaidi matamanio waliyokuwa Wazanzibar katika kujikwamua na kujiletea maendeleo.

End

IMG-20200818-WA0110.jpg
IMG-20200818-WA0111.jpg
 
Hata Dr. Shein alisemwa zaidi ya anabosemwa huyu lakini hakuna kikubwa kimebadilika.

Hivi kuna shida gani, kwanini mnapenda sana kuonesha ajae ni zaidi bila kuonesha aliyepita hakufanikiwa??? Ni ghiliba??
 
Mbona hata hiyo Picha akiwa na Mkewe Bi. Mariam anaonekana kama vile Mkewe ndiyo yuko 'Fiti' sana 'Kiafya' kuliko yake? au ni Macho tu pekee?
 
Siasa za Zanzibar inahitaji mtu anayepata Urais kwa kusukumwa na tamanio la kuondoa umaskini na kuleta maendeleo na sio mtu anayegombea kwa kupewa fedha na watu au mataifa ya nje ili aweze kupenyeza agenda yao wanayoitaka kwa Wazanzibar.
Wewe hata kiswahili hujui vizuri,
Wewe hata hii Zanzibar huijui,na sidhani kama uliwahi kufika kwenye vitongoji vyake,
Wewe unamsemea mtu kwa watu usiowajua?
Uzwazwa unakusunmbua, miaka 56 ya kuuzorotesha uchumi wa zanzibar na maendeleo yake yatosha,
Tuacheni tupumue.
Hila zenu waTanganyika tushazibaini, mwega wenu ni Muungano na kuyalinda mapinduzi.
Mzanzibari ndie anyestahiki kulindwa kwa nguvu zote na sio Muungano dhidi ya Umskini wake, Ubguzi, Uchama na ugozi,Kuanguka kwa kiwango cha elimu. na Ufukara vijijini kuzidi mara dufu.
Kuporomoka kwa uzalishaji wa Karafuu toka tani 120,000 hadi tani 6,000 kwa mwaka.
Wazanzibari wengi kuihama nchi yao kwa jinsi isivyokuwa rafiki kimaisha.

Kwa maneno yako haya ''kwa kupewa fedha na watu au mataifa ya nje ili aweze kupenyeza agenda yao wanayoitaka''
ni wazi kuwa Mwinyi anatumiwa na Taifa Jirani la Tanganyika kuidumaza Zanzibar..

Mtu anayestahiki kutimiza ndoto za wazanzibari ni Maalim Seif Sharif Hamadi, Mzaleno khaswa kipenzi cha wengi na mwneye Maono asiye yumba kwa maslahi mapana ya Zanzibar. Tazama hapa na ulinganishe
 

Attachments

  • IMG-20200809-WA0020.jpg
    IMG-20200809-WA0020.jpg
    58 KB · Views: 1
  • machotara-CCM 2015.jpeg
    machotara-CCM 2015.jpeg
    52.1 KB · Views: 1
  • mashekh wetu na viongozi wa serikali.JPG
    mashekh wetu na viongozi wa serikali.JPG
    93.1 KB · Views: 1
Issue ya Zanzibar si ya juu juu kama macho yanavyoona, kama wanasiasa wa nchi za kiafrika wangekuwa wazi na wepesi mbona Zanzibar ingekuwa wazi kitambo!.
 
Ni Kama maneno hayo yenye mbwembwe na faraja huwa yanasemwa kila wakati wa Uchaguzi unapofika! Dk.Shein alimwagiwa sifa kedekede zinazofanana na hizo lakini licha ya sifa hizo Wazanzibar hawakuwa tayari kuzisikiliza! Waliamua kuziba masikio wakafanya kweli.Pamoja na kuwekwa madarakani kwa nguvu za Dola ameiacha Zanzibar kama alivyoikuta kutoka kwa mtangulizi wake Amani Karume!
Nadhani hakuna anayeweza kukidhi matakwa ya Wazanzibar bila kueleza mustakabali wao katika Muungano!
 
Dk. Hussein Mwinyi chaguo
sahihi kwa Wazanzibar

Na Hamis Shimye

ZANZIBAR na Wazanzibari kwa ujumla wake kwa awamu hii inaenda tena kupata kiongozi aliye bora zaidi na mwenye maono ya pekee katika ukombozi wa Mzanzibari mwenyewe na hata kwenda kuenzi mapinduzi ya Zanzibar ambayo ndio alama ya ukombozi wa Zanzibar na huyo si mwingine bali ni Dk. Hussein Ali Mwinyi.

Dhana hii inajengwa kutokana na washindani wa mgombea wa Urais wa Zanzibar, Dk. Mwinyi waliojitokeza si watu wenye uwezo wa kusimama naye katika kuendeleza maendeleo makubwa yaliyopatikana na kuletwa na Chama Cha Mapinduzi(CCM), visiwani humo toka mwaka 1964 pale alipondolewa madarakani Sultani na serikali yake.

Lengo lilikuwa ni kumkomboa Mzanzibar na madhira aliyokuwa nayo enzi za Msultan, ambapo katika kitabu cha masimulizi ya Sheikh Thabit Kombo Jecha, kilichoandikwa na mwandishi Minael-Hosanna Mdundo, Sheikh Kombo anasimulia kuwa “Tumesononeka kwa sababu matumaini yetu yote ya kuupata uhuru wa nchi yetu kwa njia ya vote (kura) yalikuwa yamefutika".

Kitabu hicho kimeelezea mambo mengi, ambayo kwa ujumla Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimeyaenzi toka kwa aliyekuwa Rais wa kwanza, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume na sasa wakati huu ambao Rais Dk. Ali Mohamed Shein, anamaliza muda wake wamefanya mambo makubwa mno na hata kutoa taswira kuwa CCM imekidhi haja na tamanio la Wazanzibar katika kuwaletea maendeleo yao.

Dk. Mwinyi ni tumaini linalokwenda kuendeleza maendeleo yaliyofanywa na viongozi waliotangulia kutokana na kuwa ni kiongozi mwanamageuzi anayekwenda kuleta chachu ya maendeleo kwa Mzanzibar na Zanzibar kwa ujumla, kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa kiongozi na wa kuleta maendeleo kwa Wazanzibar, ambao wako mstari wa mbele katika kuendeleza maendeleo waliyoyapata.

Zanzibar inahitaji kiongozi bora mwenye maono ya kusukuma gurudumu la maendeleo lililopo sasa, ambapo sifa za kiongozi huyo anazo Dk. Mwinyi, ambaye amekuwa kiongozi mwenye kujua tafsiri na maana ya uongozi. Dk. Mwinyi ni mfuatiliaji wa mambo, mtendaji kazi, mchukia rushwa kwa vitendo, mpenda maendeleo ya Zanzibar na Wazanzibar kwa ujumla, ambaye ni mtu sahihi wa kushirikiana na Rais Dk. John Magufuli.

Siasa za Zanzibar inahitaji mtu anayepata Urais kwa kusukumwa na tamanio la kuondoa umaskini na kuleta maendeleo na sio mtu anayegombea kwa kupewa fedha na watu au mataifa ya nje ili aweze kupenyeza agenda yao wanayoitaka kwa Wazanzibar. Dk. Mwinyi amekuwa askari mwaminifu katika kuutukuza Uzanzibar na kuleta maendeleo kwa wananchi wa visiwani humo.

Hii inatokana na toka alipochukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM na baadae kupitishwa na Chama kuwa mgombea wake, anayesubiri kuchukua fomu siku Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) itakapotangaza amekuwa mtu mwaminifu, mwadilifu, asiyekuwa na makuu na mtu aliyeridhika na kipato ambacho MwenyeziMungu amemruzuku na hata kutokuwa na tamaa. Huyu ni kiongozi anayefaa kwa siasa za Zanzibar atakayekwenda kushirikiana na Dk. Magufuli

Dk. Mwinyi ni mtu mwenye uthubutu na kama taifa hasa Zanzibar wapo kwenye kipindi na hatua muhimu ya kidemokrasia wakati wanapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, hivyo wanapaswa kumtazama Dk. Mwinyi kama mboni na wasikubali kumpoteza kwani ni mtu anayekwenda kulinda Muungano na kuleta maendeleo ya dhati ya Mzanzibar na si kwenda kuendeleza siasa za 'usultani' kama wengine.

Ubora na uimara wa Dk. Mwinyi kiueledi na kiutumishi ndio mambo yanayomtofautisha na wagombea wengine, ambapo yeye ana sifa za upekee na utofauti wake wa uongozi na anastahili kupewa nafasi ya kuwa Rais wa Zanzibar na sio vinginevyo, huu si upendeleo bali ni ukweli wa kimantiki unaotumia mifumo ya kisiasa kumtambua mtu kulingana na sifa zake za kiuongozi, ambazo zote anazo Dk. Mwinyi.

Japokuwa Zanzibar ilishakombolewa kutoka kwenye makucha ya wakoloni, Dk. Mwinyi ni atazidi kuikomboa Zanzibar kifalsafa, kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni, upekee wa kiuongozi aliokuwa nao unasimama katika falsafa ya uweledi, utashi, misimamo na maamuzi ikiwa ni pamoja na kuiva kiitikadi na kitaaluma katika nafasi zote alizoshika ikiwemo ya Uwaziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mantiki hiyo, Dk. Hussein Ali Mwinyi ni chaguo tosha kwa CCM katika kuhakikisha anapeperusha vyema bendera ya chama hicho tawala katika kinyanganyiro cha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, kwa kuwa wamempata mgombea sahihi mwenye uwezo na utayari wa kusimamia mapinduzi ya Zanzibar na kuishi kwenye kutekeleza zaidi matamanio waliyokuwa Wazanzibar katika kujikwamua na kujiletea maendeleo.

End

View attachment 1540889View attachment 1540890
[/QUOTE
Hauko tayarikuuza mchiyetu kwa porojo lako,
Huseni Mzaramu wa Kisarawe na Mkewe Mchaga wa Moshi, Tumuache ndugu yetu Maalim sefu Mpemba wa Mtambwe na Mkewe Bi Awena Mtu wa Wete.

Basi wazanzibari Tutakuwa tunaugua Kisonono cha akili .

Labda utwambie Huyu ni Govenor wa Mkoloo Tanganyika, kama alivyokuwa TunBul mwakilish wa Malkia miaka ile. ya UkoloniTanzania kwenu huko
 
Hatuko tayari kuuza nchi yetu kwa porojo lako,
Yaani tumchague Huseni Mzaramu wa Kisarawe na Mkewe Mchaga wa Moshi, Tumuache ndugu yetu Maalim sefu Mpemba wa Mtambwe na Mkewe Bi Awena Mtu wa Wete.!

Basi wazanzibari Tutakuwa tunaugua Kisonono cha akili .

Labda utwambie Huyu ni Govenor wa Mkoloni Tanganyika, kama alivyokuwa TunBul mwakilish wa Malkia miaka ile. ya UkoloniTanzania kwenu huko
 
Dk. Hussein Mwinyi chaguo
sahihi kwa Wazanzibar

Na Hamis Shimye

ZANZIBAR na Wazanzibari kwa ujumla wake kwa awamu hii inaenda tena kupata kiongozi aliye bora zaidi na mwenye maono ya pekee katika ukombozi wa Mzanzibari mwenyewe na hata kwenda kuenzi mapinduzi ya Zanzibar ambayo ndio alama ya ukombozi wa Zanzibar na huyo si mwingine bali ni Dk. Hussein Ali Mwinyi.

Dhana hii inajengwa kutokana na washindani wa mgombea wa Urais wa Zanzibar, Dk. Mwinyi waliojitokeza si watu wenye uwezo wa kusimama naye katika kuendeleza maendeleo makubwa yaliyopatikana na kuletwa na Chama Cha Mapinduzi(CCM), visiwani humo toka mwaka 1964 pale alipondolewa madarakani Sultani na serikali yake.

Lengo lilikuwa ni kumkomboa Mzanzibar na madhira aliyokuwa nayo enzi za Msultan, ambapo katika kitabu cha masimulizi ya Sheikh Thabit Kombo Jecha, kilichoandikwa na mwandishi Minael-Hosanna Mdundo, Sheikh Kombo anasimulia kuwa “Tumesononeka kwa sababu matumaini yetu yote ya kuupata uhuru wa nchi yetu kwa njia ya vote (kura) yalikuwa yamefutika".

Kitabu hicho kimeelezea mambo mengi, ambayo kwa ujumla Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimeyaenzi toka kwa aliyekuwa Rais wa kwanza, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume na sasa wakati huu ambao Rais Dk. Ali Mohamed Shein, anamaliza muda wake wamefanya mambo makubwa mno na hata kutoa taswira kuwa CCM imekidhi haja na tamanio la Wazanzibar katika kuwaletea maendeleo yao.

Dk. Mwinyi ni tumaini linalokwenda kuendeleza maendeleo yaliyofanywa na viongozi waliotangulia kutokana na kuwa ni kiongozi mwanamageuzi anayekwenda kuleta chachu ya maendeleo kwa Mzanzibar na Zanzibar kwa ujumla, kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa kiongozi na wa kuleta maendeleo kwa Wazanzibar, ambao wako mstari wa mbele katika kuendeleza maendeleo waliyoyapata.

Zanzibar inahitaji kiongozi bora mwenye maono ya kusukuma gurudumu la maendeleo lililopo sasa, ambapo sifa za kiongozi huyo anazo Dk. Mwinyi, ambaye amekuwa kiongozi mwenye kujua tafsiri na maana ya uongozi. Dk. Mwinyi ni mfuatiliaji wa mambo, mtendaji kazi, mchukia rushwa kwa vitendo, mpenda maendeleo ya Zanzibar na Wazanzibar kwa ujumla, ambaye ni mtu sahihi wa kushirikiana na Rais Dk. John Magufuli.

Siasa za Zanzibar inahitaji mtu anayepata Urais kwa kusukumwa na tamanio la kuondoa umaskini na kuleta maendeleo na sio mtu anayegombea kwa kupewa fedha na watu au mataifa ya nje ili aweze kupenyeza agenda yao wanayoitaka kwa Wazanzibar. Dk. Mwinyi amekuwa askari mwaminifu katika kuutukuza Uzanzibar na kuleta maendeleo kwa wananchi wa visiwani humo.

Hii inatokana na toka alipochukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM na baadae kupitishwa na Chama kuwa mgombea wake, anayesubiri kuchukua fomu siku Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) itakapotangaza amekuwa mtu mwaminifu, mwadilifu, asiyekuwa na makuu na mtu aliyeridhika na kipato ambacho MwenyeziMungu amemruzuku na hata kutokuwa na tamaa. Huyu ni kiongozi anayefaa kwa siasa za Zanzibar atakayekwenda kushirikiana na Dk. Magufuli

Dk. Mwinyi ni mtu mwenye uthubutu na kama taifa hasa Zanzibar wapo kwenye kipindi na hatua muhimu ya kidemokrasia wakati wanapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, hivyo wanapaswa kumtazama Dk. Mwinyi kama mboni na wasikubali kumpoteza kwani ni mtu anayekwenda kulinda Muungano na kuleta maendeleo ya dhati ya Mzanzibar na si kwenda kuendeleza siasa za 'usultani' kama wengine.

Ubora na uimara wa Dk. Mwinyi kiueledi na kiutumishi ndio mambo yanayomtofautisha na wagombea wengine, ambapo yeye ana sifa za upekee na utofauti wake wa uongozi na anastahili kupewa nafasi ya kuwa Rais wa Zanzibar na sio vinginevyo, huu si upendeleo bali ni ukweli wa kimantiki unaotumia mifumo ya kisiasa kumtambua mtu kulingana na sifa zake za kiuongozi, ambazo zote anazo Dk. Mwinyi.

Japokuwa Zanzibar ilishakombolewa kutoka kwenye makucha ya wakoloni, Dk. Mwinyi ni atazidi kuikomboa Zanzibar kifalsafa, kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni, upekee wa kiuongozi aliokuwa nao unasimama katika falsafa ya uweledi, utashi, misimamo na maamuzi ikiwa ni pamoja na kuiva kiitikadi na kitaaluma katika nafasi zote alizoshika ikiwemo ya Uwaziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mantiki hiyo, Dk. Hussein Ali Mwinyi ni chaguo tosha kwa CCM katika kuhakikisha anapeperusha vyema bendera ya chama hicho tawala katika kinyanganyiro cha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, kwa kuwa wamempata mgombea sahihi mwenye uwezo na utayari wa kusimamia mapinduzi ya Zanzibar na kuishi kwenye kutekeleza zaidi matamanio waliyokuwa Wazanzibar katika kujikwamua na kujiletea maendeleo.

End

View attachment 1540889View attachment 1540890
Akutukanaye hakuchagulii tusi
 
Dk. Hussein Mwinyi chaguo
sahihi kwa Wazanzibar

Na Hamis Shimye

ZANZIBAR na Wazanzibari kwa ujumla wake kwa awamu hii inaenda tena kupata kiongozi aliye bora zaidi na mwenye maono ya pekee katika ukombozi wa Mzanzibari mwenyewe na hata kwenda kuenzi mapinduzi ya Zanzibar ambayo ndio alama ya ukombozi wa Zanzibar na huyo si mwingine bali ni Dk. Hussein Ali Mwinyi.

Dhana hii inajengwa kutokana na washindani wa mgombea wa Urais wa Zanzibar, Dk. Mwinyi waliojitokeza si watu wenye uwezo wa kusimama naye katika kuendeleza maendeleo makubwa yaliyopatikana na kuletwa na Chama Cha Mapinduzi(CCM), visiwani humo toka mwaka 1964 pale alipondolewa madarakani Sultani na serikali yake.

Lengo lilikuwa ni kumkomboa Mzanzibar na madhira aliyokuwa nayo enzi za Msultan, ambapo katika kitabu cha masimulizi ya Sheikh Thabit Kombo Jecha, kilichoandikwa na mwandishi Minael-Hosanna Mdundo, Sheikh Kombo anasimulia kuwa “Tumesononeka kwa sababu matumaini yetu yote ya kuupata uhuru wa nchi yetu kwa njia ya vote (kura) yalikuwa yamefutika".

Kitabu hicho kimeelezea mambo mengi, ambayo kwa ujumla Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimeyaenzi toka kwa aliyekuwa Rais wa kwanza, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume na sasa wakati huu ambao Rais Dk. Ali Mohamed Shein, anamaliza muda wake wamefanya mambo makubwa mno na hata kutoa taswira kuwa CCM imekidhi haja na tamanio la Wazanzibar katika kuwaletea maendeleo yao.

Dk. Mwinyi ni tumaini linalokwenda kuendeleza maendeleo yaliyofanywa na viongozi waliotangulia kutokana na kuwa ni kiongozi mwanamageuzi anayekwenda kuleta chachu ya maendeleo kwa Mzanzibar na Zanzibar kwa ujumla, kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa kiongozi na wa kuleta maendeleo kwa Wazanzibar, ambao wako mstari wa mbele katika kuendeleza maendeleo waliyoyapata.

Zanzibar inahitaji kiongozi bora mwenye maono ya kusukuma gurudumu la maendeleo lililopo sasa, ambapo sifa za kiongozi huyo anazo Dk. Mwinyi, ambaye amekuwa kiongozi mwenye kujua tafsiri na maana ya uongozi. Dk. Mwinyi ni mfuatiliaji wa mambo, mtendaji kazi, mchukia rushwa kwa vitendo, mpenda maendeleo ya Zanzibar na Wazanzibar kwa ujumla, ambaye ni mtu sahihi wa kushirikiana na Rais Dk. John Magufuli.

Siasa za Zanzibar inahitaji mtu anayepata Urais kwa kusukumwa na tamanio la kuondoa umaskini na kuleta maendeleo na sio mtu anayegombea kwa kupewa fedha na watu au mataifa ya nje ili aweze kupenyeza agenda yao wanayoitaka kwa Wazanzibar. Dk. Mwinyi amekuwa askari mwaminifu katika kuutukuza Uzanzibar na kuleta maendeleo kwa wananchi wa visiwani humo.

Hii inatokana na toka alipochukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM na baadae kupitishwa na Chama kuwa mgombea wake, anayesubiri kuchukua fomu siku Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) itakapotangaza amekuwa mtu mwaminifu, mwadilifu, asiyekuwa na makuu na mtu aliyeridhika na kipato ambacho MwenyeziMungu amemruzuku na hata kutokuwa na tamaa. Huyu ni kiongozi anayefaa kwa siasa za Zanzibar atakayekwenda kushirikiana na Dk. Magufuli

Dk. Mwinyi ni mtu mwenye uthubutu na kama taifa hasa Zanzibar wapo kwenye kipindi na hatua muhimu ya kidemokrasia wakati wanapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, hivyo wanapaswa kumtazama Dk. Mwinyi kama mboni na wasikubali kumpoteza kwani ni mtu anayekwenda kulinda Muungano na kuleta maendeleo ya dhati ya Mzanzibar na si kwenda kuendeleza siasa za 'usultani' kama wengine.

Ubora na uimara wa Dk. Mwinyi kiueledi na kiutumishi ndio mambo yanayomtofautisha na wagombea wengine, ambapo yeye ana sifa za upekee na utofauti wake wa uongozi na anastahili kupewa nafasi ya kuwa Rais wa Zanzibar na sio vinginevyo, huu si upendeleo bali ni ukweli wa kimantiki unaotumia mifumo ya kisiasa kumtambua mtu kulingana na sifa zake za kiuongozi, ambazo zote anazo Dk. Mwinyi.

Japokuwa Zanzibar ilishakombolewa kutoka kwenye makucha ya wakoloni, Dk. Mwinyi ni atazidi kuikomboa Zanzibar kifalsafa, kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni, upekee wa kiuongozi aliokuwa nao unasimama katika falsafa ya uweledi, utashi, misimamo na maamuzi ikiwa ni pamoja na kuiva kiitikadi na kitaaluma katika nafasi zote alizoshika ikiwemo ya Uwaziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mantiki hiyo, Dk. Hussein Ali Mwinyi ni chaguo tosha kwa CCM katika kuhakikisha anapeperusha vyema bendera ya chama hicho tawala katika kinyanganyiro cha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, kwa kuwa wamempata mgombea sahihi mwenye uwezo na utayari wa kusimamia mapinduzi ya Zanzibar na kuishi kwenye kutekeleza zaidi matamanio waliyokuwa Wazanzibar katika kujikwamua na kujiletea maendeleo.

End

View attachment 1540889View attachment 1540890
Tuko pamoja
 
Subiri mzeee wa shikamoo aje ndo utajua ni mwepesi sana kwake, bila nguvu za NEC na Jiwe hana chake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom