beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Mwinyi amefika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea Urais wa Zanzibar
Wagombea wanatakiwa kurejesha fomu za uteuzi Septemba 09, 2020 kabla ya saa 10 jioni. Tume ya Uchaguzi visiwani humo itafanya uteuzi wa wagombea Septemba 10
Wagombea wanatakiwa kurejesha fomu za uteuzi Septemba 09, 2020 kabla ya saa 10 jioni. Tume ya Uchaguzi visiwani humo itafanya uteuzi wa wagombea Septemba 10