jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya Ujerumani mwanaharakati wa siku nyingi wa haki za binadamu ndugu Daktari Hellen amesema Watanzania wengi bado hawapendelei kuitumia haki yao ya kuandamana kudai jambo lolote lihusulo haki zao.
"Iwe hata maandamano ya kuhamasishwa Watanzania wengi bado hawaoni umuhimu wake kwa sababu hawajaguswa nalo na ndiyo maana maandamano mengi hayafanikiwi hapa Tanzania.
"Mfano, kukamatwa kwa viongozi wa upinzani Tanzania, hiyo pekee ilitosha wafuasi wao kuingia barabarani na kudai haki ya wao kuachiliwa pia na kuendelea kudai madai yao kusikilizwa, cha ajabu hata pamoja na hilo, Watanzania bado wapo usingizini na inasikitisha mno," alisema Dkt Hellen.
"Iwe hata maandamano ya kuhamasishwa Watanzania wengi bado hawaoni umuhimu wake kwa sababu hawajaguswa nalo na ndiyo maana maandamano mengi hayafanikiwi hapa Tanzania.
"Mfano, kukamatwa kwa viongozi wa upinzani Tanzania, hiyo pekee ilitosha wafuasi wao kuingia barabarani na kudai haki ya wao kuachiliwa pia na kuendelea kudai madai yao kusikilizwa, cha ajabu hata pamoja na hilo, Watanzania bado wapo usingizini na inasikitisha mno," alisema Dkt Hellen.