Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
alikuwa hospital gani?I will be forever indebted to Dr. Dulla. Alikuwa bonge la Dr. Msikivu kuliko kawaida.
RIP Dr. Dulla.
alikuwa hospital gani?I will be forever indebted to Dr. Dulla. Alikuwa bonge la Dr. Msikivu kuliko kawaida.
RIP Dr. Dulla.
Nadhani temekealikuwa hospital gani?
Alikuwa Temeke kwa muda wa kawaida wa kazi, lakini jioni alikuwa pale kwa Masawe mkabala na jengo la Airtel Morocco.alikuwa hospital gani?
inaonekana alikuwa kichwa sanaAlikuwa Temeke kwa muda wa kawaida wa kazi, lakini jioni alikuwa pale kwa Masawe mkabala na jengo la Airtel Morocco.
Ya kupumua?Duu hii changamoto imekua changamoto kweli. Pumzika kwa amani Dr
Unataka nini?upo kwenye ndoa mwaka wa ngapi?
maoni yako kuhusu ndoaUnataka nini?
Changamoto ya vifoYa kupumua?
Kuna tetesi kwamba Dk Massawe ambaye alikuwa daktari mwenza pale Happy Clinic naye kaaga dunia...
Sijui kama taarifa hizi zina ukweli
Na mm nlisikia hiyo ila nliambiwa alikuwa kwenye hali isiyo nzuriKuna tetesi kwamba Dk Massawe ambaye alikuwa daktari mwenza pale Happy Clinic naye kaaga dunia...
Sijui kama taarifa hizi zina ukweli
Kipaumbele, kusimamisha uchumi wao kwanza
Na mm nlisikia hiyo ila nliambiwa alikuwa kwenye hali isiyo nzuri
Ova
Duh aiseBasi siku ya leo nimepokea meseji kadhaa juu ya taarifa ya kifo chake...
Oooh Nooooo😭😭😭Dkt. Hassan Doulla, ambaye ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto amefariki dunia. Kwa wale wazazi wenzangu wakaazi wa Dar es Salaam bila shaka mlipata kufika au kushauriwa kufika kwenye Hospitali ua Dkt. Massawe ili kupata huduma, bila shaka mnamkumbuka Dkt. Doulla(Dulla) kwa ushauri wake mzuri mno kuhusu afya za watoto wetu.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Sijakuelewa...
Mkuu, yule jamaa wanayemwita "ziraeli" nemuona amekuchekiii!! Ukimzengua atabadilisha kibao kielekee "kizazi kipya". Maana hapo anapapenda kwelikweli?Bado mtaalamu wetu mwingine tunasubiri wamtangaze.