TANZIA Dkt. Hassan Doulla, Daktari bingwa wa watoto Hospitali ya Dkt. Massawe afariki dunia

Apumzike kwa amani Dkt Hassan.

Roho nyingine hiyo. Hata AstraZeneca tu mja huyu angali endelea kuwa hai.

Ila sasa Prof Matoborwa anaendelea na uhakiki wa chanjo hii. Uhakiki ambao ni hewa na wala hata kaa aumalize.

Hiiiiii bagosha!

Au Nasema uongo ndugu zangu?
Miezi mitano baadae, daktari mwenzake (Dr. Masawe afariki)
Muda mfupi baada ya kuchanjwa chanjo Aina ya J&J,
Bila Shaka huu ni ushauri wako mkuu..
 
Ndani ya miezi Mitano Nchi yangu Tanzania ina poteza Madaktari Bingwa Bora wawili ambao wanapo mpa tiba mtoto huna kabisa chembe ya Wasiwasi wa Hudama zao.Hakika hili ni pigo kubwa kwetu wote tulio kuwa wahitaji haswa wa huduma zenu toka mkiwa Moroco na mpaka mlivyo hamia Boko.Poleni sana familia ya Dk Dullal na Dk Masawe ,Wanyakazi wenzenu pia poleni sana wazazi wote ambao Manguli hawa wa tiba za watoto walikuwa kimbilio letu.RIP Dk Masawe na Dk Dullal hakika mli jitoa sana kwajili ya watoto wetu.
 
Dkt. Hassan Doulla, ambaye ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto amefariki dunia. Kwa wale wazazi wenzangu wakaazi wa Dar es Salaam bila shaka mlipata kufika au kushauriwa kufika kwenye Hospitali ua Dkt. Massawe ili kupata huduma, bila shaka mnamkumbuka Dkt. Doulla(Dulla) kwa ushauri wake mzuri mno kuhusu afya za watoto wetu.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

Na Dr Massawe wa watoto naye amefariki Jana, Mungu tusaidie tu.
 
Miezi mitano baadae, daktari mwenzake (Dr. Masawe afariki)
Muda mfupi baada ya kuchanjwa chanjo Aina ya J&J,
Bila Shaka huu ni ushauri wako mkuu..

Chanjo zote zikiwamo Janssen ya J & J zinatolewa kwa maelekezo yaliyo wazi kutoka kwa mtengeneza chanjo husika.

Janssen kabla ya kutolewa kwa mtu haya yanahitajika kuchukuliwa:

1. Kipimo cha BP
2. Kipimo cha uzito
3. Kipimo cha maambukizi ya COVID-19
4. Kipimo cha urefu
5. Kipimo cha sukari
6. Kipimo cha joto mwilini
7. Nk

Vigezo na masharti vyote kuzingatiwa viko pamoja na chanjo hii pia.

Mtu yeyote mwenye maambukizi ya Covid-19, Joto zaidi ya 38.5°C, umri chini ya miaka 18 na wenye baadhi ya allergies hawafuzu kwa chanjo hii.

Who is Janssen not recommended for?

Individuals with a history of anaphylaxis to any component of the vaccine should not take it.

Anyone with a body temperature over 38.5ºC should postpone vaccination until they no longer have a fever.

The vaccine is not recommended for persons younger than 18 years of age pending the results of further studies in that age group.


Nimepokea chanjo ya Janssen bila ya masharti yoyote kuzingatiwa zaidi ya kuwepo muda wa zaidi ya masaa 2 ya kupigwa siasa.

Katika siasa hizo tukiaminishwa kupongezwa Mtukufu Rais kwa kutujali hata kutuletea chanjo bure. Kuwa ametulipia gharama zote za chanjo hii kutokea ilikotoka.

Kwako bwana Quaresma Fai: "Dr. Massawe alikuwa kapokea chanjo? Alipokea chanjo lini? Amekufa kwa Corona? Kumbuka mwenye taarifa (takwimu) kwa maslahi yake kisiasa amezificha kwa makusudi.

Wewe ndiye uliyezificha takwimu na ni ushauri wako mkuu ..?

#COVID19 - Chanjo isiwe Siasa, Vigezo na Masharti vizingatiwe
 
Lala salama Dr wa watoto wetu
Pole sana kwa familia yako, pole kwa wafanyakazi wenzako na wote walioguswa na msiba

Ulikua Dr makini sana kwa watoto💔💔💔💔
Mama yenu wa ccm anaupiga mwingi na lichama lenu chakavu
 
Lala salama Dr wa watoto wetu
Pole sana kwa familia yako, pole kwa wafanyakazi wenzako na wote walioguswa na msiba

Ulikua Dr makini sana kwa watoto💔💔💔💔
Hii hospital ni Ile ya Prof. Massawe aliyefariki juzi?
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom