TANZIA Dkt. Hassan Doulla, Daktari bingwa wa watoto Hospitali ya Dkt. Massawe afariki dunia

Kumbe we ndiyo unachelewesha Sherehe na maombi yako ya hapana.

R.I.P Dr Dulla.
Hata sijielewi mkuu, nisamehe tu! Ninekaonea huruma sana ka Jiwe, kumbe raia hawakapendi!! Sasa yule mama sijui itakuwaje?
 
Dkt. Hassan Doulla, ambaye ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto amefariki dunia. Kwa wale wazazi wenzangu wakaazi wa Dar es Salaam bila shaka mlipata kufika au kushauriwa kufika kwenye Hospitali ua Dkt. Massawe ili kupata huduma, bila shaka mnamkumbuka Dkt. Doulla(Dulla) kwa ushauri wake mzuri mno kuhusu afya za watoto wetu.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.


Apumzike kwa amani Dkt Hassan.

Roho nyingine hiyo. Hata AstraZeneca tu mja huyu angali endelea kuwa hai.

Ila sasa Prof Matoborwa anaendelea na uhakiki wa chanjo hii. Uhakiki ambao ni hewa na wala hata kaa aumalize.

Hiiiiii bagosha!

Au Nasema uongo ndugu zangu?
 
Hilo sio tangazo ambalo TUNALISUBIRI KWA HAMU, lenyewe mtaliweka lini?
 
Hivi naomba kuuliza,kama ni kweli mtakatifu Yohana mkeka ukatiki ,bi Sandra ataendelea kuongoza mpaka 2025 au atachukua muda mchache na uchaguzi utatangazwa tena? Naomba jibu kutokana na katiba inavyosema.
 
RIP Dr. Hassan Doulla

doulla
Dr. Hassan Doulla
Assoc. Dean
Clinical Faculty of Medicine and
Pharmaceutical sciences

Head of Department of Paediatrics & Child Health
Master of Medicine in Pediatrics
Doctor of Medicine
Dr. Hassan Doulla
Master of Medicine in Pediatrics
Doctor of Medicine
Source : Senate – Kampala International University in Tanzania
 
Maskinii...tatizo ya hii changamoto inawachukua hadi watu wema!! Laah
 
Pole sana kwa fimilia.

Alikuwa Dr mzuri sana wa watoto na zaidi alikuwa na passion na kazi yake.

Apumzike kwa amani Dr Dulla
Namkumbuka sana huyu daktari bingwa wa watoto. Nilimfahamu baada ya kumpeleka mtoto wa bro alikuwa muda wote analia, joto limempanda na kila akila ana puke.
I send my utmost condolences to his family and may his soul rest in peace.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Sijui mimi nina roho gani hii jamani naomba mnisaidie! Mzee baba nilikuwa simpendi hata kidogo mpaka wife alifikia kunihoji hivi alishakukosea nini huyu baba? Lakini sasa nimeingiwa roho ya huruma sijapata kuona, yaani natamani haka kazee kasife Mungu akanusuru na nimeshakasamehe bure kabisa! Sijui hii huruma imetoka wapi! Zamani nilikuwa nasema kakifa nitachinja mwanandama aliyenona tule, tunywe na tuimbe lakini sasa nakahurumia sana!
upo kwenye ndoa mwaka wa ngapi?
 
Back
Top Bottom