Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Nimeona umepost video nyingine kwa kutumia ukurasa wa “Msemaji wa Serikali” ukidai katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2025 (National Development Vision 2025) ambao ulisainiwa na kuanza kutumika kipindi cha Mkapa hakuna sehemu inataja tunahitaji kufikia kipato cha kila mtu cha USD 3,000.
Kila mtanzania anajua unajibidisha kumjibu Rais Kikwete baada ya kuweka sawa Mpango wa Maendeleo wa Taifa ambao ofisi yako ya Msemaji wa Serikali mlishaanza kudanganya umma kwamba tumefikia kabla ya wakati.
Naomba nikukumbushe yafuatayo:-
1. Katika Mpango wa miaka mitano wa mwaka 2016 ambao ni subset ya mpango wa 2025 ambao huwekwa kila baada ya miaka mitano, bosi wako Rais Dkt John Magufuli katika utangulizi anataja USD 3,000 kama kipato tunachotakiwa kufikia ifikapo 2025. Kwa namna moja unapingana na bosi wako na kumtia aibu na kufanya wananchi tuamini kwamba ndio anakutuma uongee huu utumbo wa darasa la kwanza.
2. Pia Kikwete amekuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10, na katika miaka hiyo 10 Mapango huu wa maendeleo alikuwa ndio akiamka nao na kulala nao maana utekelezaji wake wote ulikuwa kwenye mpango huu. Ameutekeleza Mpango huu wa Maendeleo kwa miaka 10, Kikwete hajakurupuka na sio mtu wa kukutupuka.
Kumbuka Kikwete ameshiriki kuuandaa mpango huu 2025 akiwa Waziri wa Fedha 1994 pamoja na Vision ya TRA.
Kuwa na adabu kwa wakubwa zako.
3. Sijui unasoma wapi huo udaku kwamba hakuna sehemu inaeleza kipato cha usd 3,000.
4. Watanzania wanaomba uwaombe radhi, Kazi imekushinda. Tunajua Mh. Rais Dkt John Pombe Magufuli hajakutuma ila unajaribu kujipendekeza kulinda kibarua chako wakati Mh. Rais Dkt. John Pombe Magufuli anajua nini maana ya Mpango wa Maendeleo 2025.
Dr. Abbas elimu yako ni kubwa sana ila inatupa mashaka, kwa sababu kwa PhD holder usingeweza kuja na mawazo ya hali ya chini kama hivi na usijue vision 2025 inalenga nini..
HII HOTUBA YA JK MSIBANI NI MOJA YA HUTUBA BORA KWA MWAKA HUU.
Kila mtanzania anajua unajibidisha kumjibu Rais Kikwete baada ya kuweka sawa Mpango wa Maendeleo wa Taifa ambao ofisi yako ya Msemaji wa Serikali mlishaanza kudanganya umma kwamba tumefikia kabla ya wakati.
Naomba nikukumbushe yafuatayo:-
1. Katika Mpango wa miaka mitano wa mwaka 2016 ambao ni subset ya mpango wa 2025 ambao huwekwa kila baada ya miaka mitano, bosi wako Rais Dkt John Magufuli katika utangulizi anataja USD 3,000 kama kipato tunachotakiwa kufikia ifikapo 2025. Kwa namna moja unapingana na bosi wako na kumtia aibu na kufanya wananchi tuamini kwamba ndio anakutuma uongee huu utumbo wa darasa la kwanza.
2. Pia Kikwete amekuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10, na katika miaka hiyo 10 Mapango huu wa maendeleo alikuwa ndio akiamka nao na kulala nao maana utekelezaji wake wote ulikuwa kwenye mpango huu. Ameutekeleza Mpango huu wa Maendeleo kwa miaka 10, Kikwete hajakurupuka na sio mtu wa kukutupuka.
Kumbuka Kikwete ameshiriki kuuandaa mpango huu 2025 akiwa Waziri wa Fedha 1994 pamoja na Vision ya TRA.
Kuwa na adabu kwa wakubwa zako.
3. Sijui unasoma wapi huo udaku kwamba hakuna sehemu inaeleza kipato cha usd 3,000.
Dr. Abbas elimu yako ni kubwa sana ila inatupa mashaka, kwa sababu kwa PhD holder usingeweza kuja na mawazo ya hali ya chini kama hivi na usijue vision 2025 inalenga nini..
HII HOTUBA YA JK MSIBANI NI MOJA YA HUTUBA BORA KWA MWAKA HUU.