Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,309
- 5,536
Hiv anapga mishahara miwili au imekaaje?
Huyu Ndugu ameshikilia vyeo viwili:
1.Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,na
2.Msemaji wa Serikali
Sasa ni wakati muafaka akatafutwa mtu mwingine kujaza nafasi ya Msemaji wa Serikali,ili sasa Dr.Abbas ajikite na Ukatibu Mkuu wa Wizara!!