G Labda kwanza ungeeleza ni lini Congressman au seneta amekuwa analewa chakari akiwa na kimada kama mlinzi huko USA.Abbas awambie umma wa Tanzania lini congressman au senator amepigwa risasi au ameshambuliwa na kujeruhiwa USA.
G Labda kwanza ungeeleza ni lini Congressman au seneta amekuwa analewa chakari akiwa na kimada kama mlinzi huko USA.Abbas awambie umma wa Tanzania lini congressman au senator amepigwa risasi au ameshambuliwa na kujeruhiwa USA.
Kila siku oh ukiona giza totoro sijui nini, blah blah tupu. Hakuna cha giza wala nini tukutane oktoba.Ukiona giza totoro karibia kuna kucha,...
Dodoma sio salama ina utelezi mwingi hasa ukiwa umebwia nyagi na una kimwana pembeni. Mabaharia tuwe makini.Kuna kitu kinaitwa "trend".Democrats wawili washambuliwe au waingie matatani katika eneo moja hilo hilo whatever the the time lapse inaweza kuwa tukio kubwa kuliko ukabaji wa kila siku wa eneo hilo.Wasemaje wa serikali wakati mwingine wakae kimya hasa haya masuala ambayo yanahusu Polisi.
October,mambo ni Yale yale.2024 kuelekea 2025 tutagawana fito za nyumba.Kila siku oh ukiona giza totoro sijui nini, blah blah tupu. Hakuna cha giza wala nini tukutane oktoba.
Ndo kubana matumizi huko; mh Rais ukimfanyia kazi anayopenda utakula rahaa sana hapa Duniani.Hivi jamaa anakula mishahara miwili?
Takataka kama hizi sitaki kuziona kwenye comments, embedded brain!