GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Akizungumza kwa njia ya simu kupitia Global TV msemaji wa serikali,Dr. Abbas amewashangaa wote wanàodai kuwa Dodoma sio salama kisa eti kumetokea vitukio viwili Tena vya kawaida tu.
Amesema watu hawa wanaosema Dodoma sio sehemu salama hawajawahi kufika London na New York na kujionea matukio makubwa yanayotokea kila siku.
Yaani mlevi adondoke kwenye ngazi akiwa chakali alafu uje utuambie Dodoma sio sehemu salama!?
Hatari sana.
Amesema watu hawa wanaosema Dodoma sio sehemu salama hawajawahi kufika London na New York na kujionea matukio makubwa yanayotokea kila siku.
Yaani mlevi adondoke kwenye ngazi akiwa chakali alafu uje utuambie Dodoma sio sehemu salama!?
Hatari sana.