Kabisa mkuu!. Yataijulia wapi kama leo wanamshabikia Membe yule wa enzi za JK?Hujui maana ya rushwa wewe
Mbona Mkuu wa Wilya ya Hai anapiga kampeni kwa kutembelea kata zote na kuwaambia wasimchague mwingine maana watapata tabu sana. Anasimama majukwaani anasema CCM oyee huoni kuwa hapa umetudanganya.Wakuu wa mikoa na watumishi wengine wote, wao wanaendelea, ila hawatakiwa kupiga kampeni kukishabikia chama chochote.