Dkt. Faustine Ndugulile: Watanzania kunufaika na biashara Mtandao kufikia 2025

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
664
829
Watanzania kunufaika na Biashara Mtandao kufikia 2025.

"Lengo letu kufikia 2025 zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania tuwafikie kwa mawasiliano ya Internet na hadi 2025 tuwe tumeweka mazingira wezeshi ya biashara mtandao (E-commerce)".

Ameyasema hayo Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dr. Faustine Ndugulile wakati wa mkutano na Wahariri wa vyombo vya habari Nchini Tanzania leo Tarehe 16, Juni 2021 katika UKUMBI wa Kilimani, Dodoma.

20210616_145156.jpg

20210616_145159.jpg

20210616_145201.jpg
 
Back
Top Bottom