Watanzania kunufaika na Biashara Mtandao kufikia 2025.
"Lengo letu kufikia 2025 zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania tuwafikie kwa mawasiliano ya Internet na hadi 2025 tuwe tumeweka mazingira wezeshi ya biashara mtandao (E-commerce)".
Ameyasema hayo Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dr. Faustine Ndugulile wakati wa mkutano na Wahariri wa vyombo vya habari Nchini Tanzania leo Tarehe 16, Juni 2021 katika UKUMBI wa Kilimani, Dodoma.
"Lengo letu kufikia 2025 zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania tuwafikie kwa mawasiliano ya Internet na hadi 2025 tuwe tumeweka mazingira wezeshi ya biashara mtandao (E-commerce)".
Ameyasema hayo Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dr. Faustine Ndugulile wakati wa mkutano na Wahariri wa vyombo vya habari Nchini Tanzania leo Tarehe 16, Juni 2021 katika UKUMBI wa Kilimani, Dodoma.