MHE.NDUGULILE (MB) ATEULIWA KAMATI YA SHERIA NDOGO NA MASUALA YA UKIMWI
Mbunge wa Kigamboni Mhe.Faustine Ndugulile Leo Oktoba 09,2021 amekuwa sehemu ya walioteuliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai ambapo ameteuliwa kuwa Mjumbe kwenye Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati ya Masuala ya UKIMWI katika Kamati za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
@faustine_ndugulile
#KaziIendelee
Mbunge wa Kigamboni Mhe.Faustine Ndugulile Leo Oktoba 09,2021 amekuwa sehemu ya walioteuliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai ambapo ameteuliwa kuwa Mjumbe kwenye Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati ya Masuala ya UKIMWI katika Kamati za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
@faustine_ndugulile
#KaziIendelee