Dkt. Faustine Ndugulile ateuliwa Kamati ya Sheria Ndogo na Masuala ya UKIMWI

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
666
835
MHE.NDUGULILE (MB) ATEULIWA KAMATI YA SHERIA NDOGO NA MASUALA YA UKIMWI

Mbunge wa Kigamboni Mhe.Faustine Ndugulile Leo Oktoba 09,2021 amekuwa sehemu ya walioteuliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai ambapo ameteuliwa kuwa Mjumbe kwenye Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati ya Masuala ya UKIMWI katika Kamati za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

@faustine_ndugulile
#KaziIendelee

Screenshot_20211011-104510.jpg
 
mambo yanaenda kasi sanaa ka virurushi vya internet vinavyotafuna na background applications/program kwenye simu

ukija stuka unawapigia customer care kuulizia salio limeishaje
 
MHE.NDUGULILE (MB) ATEULIWA KAMATI YA SHERIA NDOGO NA MASUALA YA UKIMWI

Mbunge wa Kigamboni Mhe.Faustine Ndugulile Leo Oktoba 09,2021 amekuwa sehemu ya walioteuliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai ambapo ameteuliwa kuwa Mjumbe kwenye Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati ya Masuala ya UKIMWI katika Kamati za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

@faustine_ndugulile
#KaziIendelee

View attachment 1970870
Daktari anapewa idara ya sheria na mwanasheria anapewa idara ya afya.

Hii nchi hii!
 
MHE.NDUGULILE (MB) ATEULIWA KAMATI YA SHERIA NDOGO NA MASUALA YA UKIMWI

Mbunge wa Kigamboni Mhe.Faustine Ndugulile Leo Oktoba 09,2021 amekuwa sehemu ya walioteuliwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai ambapo ameteuliwa kuwa Mjumbe kwenye Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati ya Masuala ya UKIMWI katika Kamati za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

@faustine_ndugulile
#KaziIendelee

View attachment 1970870
Kwa Daktari na kamati ya Ukimwi, sawa kabisa.
Sawa na mgonjwa na uji, pale vifurushi na tozo ilikuwa fiksi.
 
Back
Top Bottom