kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,502
Dr. Emmanuel Nchimbi akiwa Waziri wa Mambo ya ndani ndipo iliposhamiri matukio ya kuteswa waandishi wa habari ikiwemo kifo Cha Mwangosi huko Iringa.
Baada ya kuonekana Hana Jambo lolote alilofanikiwa kwenye Wizara hiyo na baada ya kumuunga mkono Lowasa chama kikamkataa.
Akazunguka kidogo Kwa mwamvuli wa Lowassa upinzani lakini akatishwa Kwa kashfa ya kula fedha za ujenzi wa jengo la UVCCM na kupelekea kuanza mchakato wakumfikisha mahakamani.
Alipoona dola imemgeuka kumulika maovu yake akaenda kuomba msamaha kama alivyofanya Nape ndipo JPM akamsamehe na kumpeleka Ubalozini Brazil. Toka ameenda Ubalozi hajawahi kufanya kitu chochote si kwa sababu nyingine bali ni kwa sababu ya uwezo mdogo wa kimkakati.
Leo tumeshuhudia ameondolewa Ubalozini na naamini atarejea nchini. Wakati anarejea nchini. Akiwa njiani wapo watu wanatudanganya kwamba huyu ni jembe la siasa lakini jiulize amefanya nini kwenye siasa? Amewahi kufanikisha mpango gani endelevu Kwa nchi hii?
Mfumo wa siasa za Tanzania hasa siasa za CCM unategemea dola na siyo nguvu ya mtu. Nchimbi Kwa alivyo hata akipewa mabilioni Leo akitoe chama kwenye makucha ya dola kiweze kujisimamia awezi kushawishi mtu yeyote. Hivyo kumwona mtu aliyefeli kama shujaa ni kupumbaza werevu Kwa maisha ya kujipendekeza. I believe there is no strategy in Nchimbi and will never be.
Baada ya kuonekana Hana Jambo lolote alilofanikiwa kwenye Wizara hiyo na baada ya kumuunga mkono Lowasa chama kikamkataa.
Akazunguka kidogo Kwa mwamvuli wa Lowassa upinzani lakini akatishwa Kwa kashfa ya kula fedha za ujenzi wa jengo la UVCCM na kupelekea kuanza mchakato wakumfikisha mahakamani.
Alipoona dola imemgeuka kumulika maovu yake akaenda kuomba msamaha kama alivyofanya Nape ndipo JPM akamsamehe na kumpeleka Ubalozini Brazil. Toka ameenda Ubalozi hajawahi kufanya kitu chochote si kwa sababu nyingine bali ni kwa sababu ya uwezo mdogo wa kimkakati.
Leo tumeshuhudia ameondolewa Ubalozini na naamini atarejea nchini. Wakati anarejea nchini. Akiwa njiani wapo watu wanatudanganya kwamba huyu ni jembe la siasa lakini jiulize amefanya nini kwenye siasa? Amewahi kufanikisha mpango gani endelevu Kwa nchi hii?
Mfumo wa siasa za Tanzania hasa siasa za CCM unategemea dola na siyo nguvu ya mtu. Nchimbi Kwa alivyo hata akipewa mabilioni Leo akitoe chama kwenye makucha ya dola kiweze kujisimamia awezi kushawishi mtu yeyote. Hivyo kumwona mtu aliyefeli kama shujaa ni kupumbaza werevu Kwa maisha ya kujipendekeza. I believe there is no strategy in Nchimbi and will never be.