Dkt. Dorothy Gwajima wamulike Balaza la Famasi

Z-ANTO

Senior Member
Sep 11, 2020
136
174
Mh.Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima,Naomba nikupongeze wewe na wasaidizi wako katika Kuleta matokeo chanya kwenye hii secta Nyeti ya Afya

Mh Waziri Dr Dorothy Gwajima sisi ni vijana wako katika sekta hii ya afya kwa Upande wa Famasi,

Mh Waziri sisi vijana ambao tuna shauku ya kutumia maarifa yetu/ Taaluma zetu ili kuleta huduma bora kwenye Taifa letu na vile vile kujiingizia kipato

Katika yote hayo Mh Waziri ili yatimie yanahitaji LESENI YA TAALUMA, Mh Waziri tumekuwa tukisubiri matokeo yetu ya Mtihani ambao tumeufanya Tarehe 27&28 mwezi wa Kwanza bila mafanikio mpaka leo

Ni takribani Miezi miwili na wiki mbili Sasa matokeo hayajatoka, kumekuwa na danadana zisizoeleweka kila tukifuatilia hili suala la matokeo

Kama ujuavyo Mh Waziri hii kada huwezi fanya chochote bila Leseni hivyo tumekuwa tukiumia kwa muda mrefu sana....Idadi ya waliofanya mtihani ni 798 Tanzania nzima(Pharmacists 303 & Technicians 495), wakati mwingine tunashindwa kuelewa inakuwaje kada kama Madaktari, Nurse wao matokeo yanatoka haraka sana kuliko sisi japo ya kuwa na idadi kubwa zaidi ya mara nne ya wafamasia???? Hata ukiangali gharama za kufanya mtihani nikubwa sana kuliko wao bado sisi Matokeo tunazungushwa sanaa??? na kwanini???


Mh.Waziri Dr Dorothy Gwajima Tunakuomba kwa Mamlaka yako makubwa uliyopewa na Amri jeshi mkuu Mh Samia Suluhu Hassan, Tunakuomba litatuliwe hili kwa haraka, Vijana wako tunaumia na Tuna hali mbaya kwakweli


Ahsante na niwie radhi kwa mpangilio usio ridhisha hapa jukwaani....


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAAA!!


KAZI IENDELEE!
 
Hawa jamaa wanazingua sana, They don't care visingizio kibao visivyo na maana
 
Kimsingi Dorothy kwa zile sarakasi za mapapai na maparachichi na nyungu amejishushia sana heshima. Huwa kila nikimuangalia nashindwa kumuweka kwenye group la watu gani lakini amekaa kama loose point kidogo, kidogo kama comedian, kidogo kama clown, kidogo kama mtu ambaye yupo serious.

Kimsingi amebaki pale na yule Naibu wake wote wapo kidizaini flani na pia siku zao zinahesabika only because kwenye afya Ummy alifanya vizuri labda so hakuna rabsha nyingi ndio maana madame president amewakalia kimya.
 
Mh.Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima,Naomba nikupongeze wewe na wasaidizi wako katika Kuleta matokeo chanya kwenye hii secta Nyeti ya Afya

Mh Waziri Dr Dorothy Gwajima sisi ni vijana wako katika sekta hii ya afya kwa Upande wa Famasi,

Mh Waziri sisi vijana ambao tuna shauku ya kutumia maarifa yetu/ Taaluma zetu ili kuleta huduma bora kwenye Taifa letu na vile vile kujiingizia kipato

Katika yote hayo Mh Waziri ili yatimie yanahitaji LESENI YA TAALUMA, Mh Waziri tumekuwa tukisubiri matokeo yetu ya Mtihani ambao tumeufanya Tarehe 27&28 mwezi wa Kwanza bila mafanikio mpaka leo

Ni takribani Miezi miwili na wiki mbili Sasa matokeo hayajatoka, kumekuwa na danadana zisizoeleweka kila tukifuatilia hili suala la matokeo

Kama ujuavyo Mh Waziri hii kada huwezi fanya chochote bila Leseni hivyo tumekuwa tukiumia kwa muda mrefu sana....Idadi ya waliofanya mtihani ni 798 Tanzania nzima(Pharmacists 303 & Technicians 495), wakati mwingine tunashindwa kuelewa inakuwaje kada kama Madaktari, Nurse wao matokeo yanatoka haraka sana kuliko sisi japo ya kuwa na idadi kubwa zaidi ya mara nne ya wafamasia???? Hata ukiangali gharama za kufanya mtihani nikubwa sana kuliko wao bado sisi Matokeo tunazungushwa sanaa??? na kwanini???


Mh.Waziri Dr Dorothy Gwajima Tunakuomba kwa Mamlaka yako makubwa uliyopewa na Amri jeshi mkuu Mh Samia Suluhu Hassan, Tunakuomba litatuliwe hili kwa haraka, Vijana wako tunaumia na Tuna hali mbaya kwakweli


Ahsante na niwie radhi kwa mpangilio usio ridhisha hapa jukwaani....


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAAA!!


KAZI IENDELEE!
Nyie si hamtaki kuyoa rushwa.Hao jamaa wnataka rushwa,nyie watafuteni wapeni kitu kidogo mnapata matokeo mara moja.
 
Mh.Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima,Naomba nikupongeze wewe na wasaidizi wako katika Kuleta matokeo chanya kwenye hii secta Nyeti ya Afya

Mh Waziri Dr Dorothy Gwajima sisi ni vijana wako katika sekta hii ya afya kwa Upande wa Famasi,

Mh Waziri sisi vijana ambao tuna shauku ya kutumia maarifa yetu/ Taaluma zetu ili kuleta huduma bora kwenye Taifa letu na vile vile kujiingizia kipato

Katika yote hayo Mh Waziri ili yatimie yanahitaji LESENI YA TAALUMA, Mh Waziri tumekuwa tukisubiri matokeo yetu ya Mtihani ambao tumeufanya Tarehe 27&28 mwezi wa Kwanza bila mafanikio mpaka leo

Ni takribani Miezi miwili na wiki mbili Sasa matokeo hayajatoka, kumekuwa na danadana zisizoeleweka kila tukifuatilia hili suala la matokeo

Kama ujuavyo Mh Waziri hii kada huwezi fanya chochote bila Leseni hivyo tumekuwa tukiumia kwa muda mrefu sana....Idadi ya waliofanya mtihani ni 798 Tanzania nzima(Pharmacists 303 & Technicians 495), wakati mwingine tunashindwa kuelewa inakuwaje kada kama Madaktari, Nurse wao matokeo yanatoka haraka sana kuliko sisi japo ya kuwa na idadi kubwa zaidi ya mara nne ya wafamasia???? Hata ukiangali gharama za kufanya mtihani nikubwa sana kuliko wao bado sisi Matokeo tunazungushwa sanaa??? na kwanini???


Mh.Waziri Dr Dorothy Gwajima Tunakuomba kwa Mamlaka yako makubwa uliyopewa na Amri jeshi mkuu Mh Samia Suluhu Hassan, Tunakuomba litatuliwe hili kwa haraka, Vijana wako tunaumia na Tuna hali mbaya kwakweli


Ahsante na niwie radhi kwa mpangilio usio ridhisha hapa jukwaani....


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAAA!!


KAZI IENDELEE!
Hapa sijaelewa,yaani unasoma udaktari 5years alafu tena unafantishwa mtihani mwingine tena ili ufuzu upewe lesen?Sasa hiyo mitihani ya chuo ni ya nini?nadhani hapa ndiyo pale tunapoanza kuangalia uwezekano wa kuangalia mitaala yetu.

Hata pia kuna hizi board za uhasibu.sijui kuna haja gani kuwepo na certificates,diploma na bachelors za uhasibu,ikiwa mhasibu ili utambulike lazima ufanye hiyo mitihani,iliyo jaa siasa na dhuluma nyingi.maana ni vyonzo vya mapato vya hizo board
 
Board ya famasi na maabara zina matatizo makubwa hata gharama pia za kufanya hiyo mitihani ya lesseni bado iko juu, na bado ukifanya huo mtihani na ukafaulu Unatakiwa ulipie upya ili kuaaply lesseni yako sasa kama mimefanya mtihani na kufaulu kwa nini nisipewe lesseni yangu moja kwa moja maana taarifa zote zipo kwenye board husika? kuna ulazima gani wa kulipia tena upya na kuanza kuapply lesseni? ili hali nimeisha lipia kwenye mtihani wangu wa lesseni na kufaulu, kwenye hizi board kuna upigaji mkubwa tu
 
Kimsingi Dorothy kwa zile sarakasi za mapapai na maparachichi na nyungu amejishushia sana heshima. Huwa kila nikimuangalia nashindwa kumuweka kwenye group la watu gani lakini amekaa kama loose point kidogo, kidogo kama comedian, kidogo kama clown, kidogo kama mtu ambaye yupo serious.

Kimsingi amebaki pale na yule Naibu wake wote wapo kidizaini flani na pia siku zao zinahesabika only because kwenye afya Ummy alifanya vizuri labda so hakuna rabsha nyingi ndio maana madame president amewakalia kimya.
Mi huwa namuona kama dishi limeyumba
 
Pole sana.
Wamekucheleweshea dili la kutundika cheti famasi?
Maana kama ni kazi hujakatazwa kufanya.
Badala ya kuwalaumu,ungewauliza kwanza shida ni nini.

Ijapo mimi sihusiki huko,ila nimegundua pesa siku hizi ikilipwa,yote inaenda hazina hadi hao baraza waiombe.Sasa nijuacho,hakuna usumbufu mkubwa kama kuanza kubembeleza upewe pesa kutoka hazina ili utekeleze shughuli fulani halali kabisa.Pesa ikishaenda huko,inaitwa ya serikali.
Mh.Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima,Naomba nikupongeze wewe na wasaidizi wako katika Kuleta matokeo chanya kwenye hii secta Nyeti ya Afya

Mh Waziri Dr Dorothy Gwajima sisi ni vijana wako katika sekta hii ya afya kwa Upande wa Famasi,

Mh Waziri sisi vijana ambao tuna shauku ya kutumia maarifa yetu/ Taaluma zetu ili kuleta huduma bora kwenye Taifa letu na vile vile kujiingizia kipato

Katika yote hayo Mh Waziri ili yatimie yanahitaji LESENI YA TAALUMA, Mh Waziri tumekuwa tukisubiri matokeo yetu ya Mtihani ambao tumeufanya Tarehe 27&28 mwezi wa Kwanza bila mafanikio mpaka leo

Ni takribani Miezi miwili na wiki mbili Sasa matokeo hayajatoka, kumekuwa na danadana zisizoeleweka kila tukifuatilia hili suala la matokeo

Kama ujuavyo Mh Waziri hii kada huwezi fanya chochote bila Leseni hivyo tumekuwa tukiumia kwa muda mrefu sana....Idadi ya waliofanya mtihani ni 798 Tanzania nzima(Pharmacists 303 & Technicians 495), wakati mwingine tunashindwa kuelewa inakuwaje kada kama Madaktari, Nurse wao matokeo yanatoka haraka sana kuliko sisi japo ya kuwa na idadi kubwa zaidi ya mara nne ya wafamasia???? Hata ukiangali gharama za kufanya mtihani nikubwa sana kuliko wao bado sisi Matokeo tunazungushwa sanaa??? na kwanini???


Mh.Waziri Dr Dorothy Gwajima Tunakuomba kwa Mamlaka yako makubwa uliyopewa na Amri jeshi mkuu Mh Samia Suluhu Hassan, Tunakuomba litatuliwe hili kwa haraka, Vijana wako tunaumia na Tuna hali mbaya kwakweli


Ahsante na niwie radhi kwa mpangilio usio ridhisha hapa jukwaani....


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAAA!!


KAZI IENDELEE!
 
Back
Top Bottom