Dkt. Benson Bana akili kubwa ya darasani

[QUOTE="Mmawia, post: 32984178, member: 165175"
Kama masuala ya kiakademia uko nayo mbali huwezi kujua mchango wake.
 
Wakuu, Mnyonge mnyongeni lakini ukweli utaishi daima
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi Leo tarehe 30/09/2019, Dtk Bana ana GPA 4.9 ya undergraduate degree na GPA ya 5 masters zote pale Udsm

Miaka hiyo kwenda chuo kikuu ilikuwa shughuli pevu na kufeli ilikuwa sehemu ya maisha

Vijana wa dot com wanasoma kwa muundo wa semester bado wana GPA za hovyo hovyo

Enzi za akina Bana mitihani mkuu ni mwisho wa mwaka ilikuwa ni only the Fittest survive in the Jungle

Hongera Dkt Bana wewe ni kichwa sana

Vijana wengi hapa Jf wamesoma muundo wa semester lakini GPA zao ni za zimamoto yaani hovyo kabisa hata kuzitazama

Leo hii vijana wanafundishwa chuo kikuu jinsi ya kuunganisha sentensi za Kiingereza kwani kichwani ni empty

Hata kama maoni yake huwachoma baadhi ya wafia vyama yaani ccm na Chadema, Kwa watu ambao wapo kati hawaegemei kushoto au kulia Bana ni kichwa kubwa darasani

Povu la sabuni ya kipande aina ya Jamaa linaruhusiwaView attachment 1219444View attachment 1219445
Ausee....
 
Usi generalize hivyo. Political science huwezi kufananisha na Uchumi, Engineering, Medicine, Pharmacy
Angepata 4.9 CoET, MUHAS Hapo ndo tungeelewa.
Masomo mnafanya discussion kama vile mnasikiliza Hadithi za Mama na Mwana!!
Usipoheshimu taaluma ya wenzako, unajinyima uhalali wa taaluma yako kuheshimiwa.
Hiyo, by the way, ni kauli iliyotolewa na Prof. Matthew Luhanga, siku moja jioni, pale UDASA Club, miaka kadhaa kabla hajawa Chief Academic Officer, CACO, wa UDSM.
Hakuna fani inayojitosheleza, peke yake, hapa duniani.
 
Hicho sio kigezo mbona Wengine hawakupata GPA ya 4.9 hiyo development studies

Hapo udsm hakuna degree ya DS ila kuna Institute of development studies

Sasa DS ni subsidiary kwa kila first year hapo udsm wewe vipi?
DS ni subsidiary subject kwa wanachuo wote lakini wapo ambao wanaamua kuichukua DS kama major subject.

Una uelewa hasa wa mfumo wa masomo wa UDSM au umepita tu? Mimi nilikuwa 2nd best final year student, faculty of science. Naifahamu vizuri mifumo ya masomo iliyokuwepo wakati ule. Naweza nisijue kwa sasa, kama wamebadilisha.

Ilikuwa nibakie hapo lakini baada ya kuyaweka mambo katika mizania, niliamua kutobakia UDSM. Na ulikuwa ni uamuzi sahihi hasa. Kidogo nilitaka kupotea kwa kutaka kubakia pale.

Siyo vizuri sana kuwasema vibaya wanadamu wenzako lakini unayemtaja hapa kama exceptionally bright, hupo sahihi kabisa. Ni kama askari wa JWTZ kikosi cha anga aliyeshindwa mafunzo halafu akaamua kuwa mgambo. Kwenye mafunzo ya mgambo akawa best performer.
 
Kelvin aluwahi kusema kuwa kipimo cha uelewa ni numbers. Ukifahamu namba unaweza kuelewa chochote utakachofundishwa. Bana kwenye namba alijaribu na alitoka bila ya kuelewa chochote.

Mwanasayansi Kelvin alipata kunena:

'When you can measure what you are speaking about, and express it in numbers, you know something about it; but when you cannot measure it, when you cannot express it in numbers, your knowledge is of a meagre and unsatisfactory kind; it may be the beginning of knowledge, but you have scarcely, in your thoughts, advanced to the stage of science, whatever the matter may be'
 
Wakuu, Mnyonge mnyongeni lakini ukweli utaishi daima
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi Leo tarehe 30/09/2019, Dtk Bana ana GPA 4.9 ya undergraduate degree na GPA ya 5 masters zote pale Udsm

Miaka hiyo kwenda chuo kikuu ilikuwa shughuli pevu na kufeli ilikuwa sehemu ya maisha

Vijana wa dot com wanasoma kwa muundo wa semester bado wana GPA za hovyo hovyo

Enzi za akina Bana mitihani mkuu ni mwisho wa mwaka ilikuwa ni only the Fittest survive in the Jungle

Hongera Dkt Bana wewe ni kichwa sana

Vijana wengi hapa Jf wamesoma muundo wa semester lakini GPA zao ni za zimamoto yaani hovyo kabisa hata kuzitazama

Leo hii vijana wanafundishwa chuo kikuu jinsi ya kuunganisha sentensi za Kiingereza kwani kichwani ni empty

Hata kama maoni yake huwachoma baadhi ya wafia vyama yaani ccm na Chadema, Kwa watu ambao wapo kati hawaegemei kushoto au kulia Bana ni kichwa kubwa darasani

Povu la sabuni ya kipande aina ya Jamaa linaruhusiwaView attachment 1219444View attachment 1219445

Umesahau

Alifeligi Form Four akaenda Ualimu wa Primary akasoma kisomo cha watu wazima

Akapanda kutoka ualimu wa primary akawa wa sekondary!

Akafanya pepa ya mature entry ndio akaingia chuo kikuu!

The dude’s in his teen years he was useless!

His intelligence is an accident in his adulthood!

He’s not a genius!

Alisoma ukubwani kama “KAZI” !
 
Ni kutudharau watanzania ukisema Dk Bana ni akili kubwa.Ile ni akili kisoda kabisa.Kwa sababu ya maoni mbalimbali anayochangia huwezi dhania hata ana bachelor.Bado sana ukilinganisha na Mabala, shivji,salim Ahmed na hata kikwete ana akili kubwa kuliko huyu mwalimu wake
Naona Wadau wameshasahau michango yake ya maoni anayotoa mara kwa mara, linapotokea tukio fulani.
Hiyo michango, ambayo huwa inapondwa mara kwa mara hapa!
 
Back
Top Bottom