GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Wakuu, Mnyonge mnyongeni lakini ukweli utaishi daima
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi Leo tarehe 30/09/2019, Dtk Bana ana GPA 4.9 ya undergraduate degree na GPA ya 5 masters zote pale Udsm
Miaka hiyo kwenda chuo kikuu ilikuwa shughuli pevu na kufeli ilikuwa sehemu ya maisha
Vijana wa dot com wanasoma kwa muundo wa semester bado wana GPA za hovyo hovyo
Enzi za akina Bana mitihani mkuu ni mwisho wa mwaka ilikuwa ni only the Fittest survive in the Jungle
Hongera Dkt Bana wewe ni kichwa sana
Vijana wengi hapa Jf wamesoma muundo wa semester lakini GPA zao ni za zimamoto yaani hovyo kabisa hata kuzitazama
Leo hii vijana wanafundishwa chuo kikuu jinsi ya kuunganisha sentensi za Kiingereza kwani kichwani ni empty
Hata kama maoni yake huwachoma baadhi ya wafia vyama yaani ccm na Chadema, Kwa watu ambao wapo kati hawaegemei kushoto au kulia Bana ni kichwa kubwa darasani
Povu la sabuni ya kipande aina ya Jamaa linaruhusiwa
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi Leo tarehe 30/09/2019, Dtk Bana ana GPA 4.9 ya undergraduate degree na GPA ya 5 masters zote pale Udsm
Miaka hiyo kwenda chuo kikuu ilikuwa shughuli pevu na kufeli ilikuwa sehemu ya maisha
Vijana wa dot com wanasoma kwa muundo wa semester bado wana GPA za hovyo hovyo
Enzi za akina Bana mitihani mkuu ni mwisho wa mwaka ilikuwa ni only the Fittest survive in the Jungle
Hongera Dkt Bana wewe ni kichwa sana
Vijana wengi hapa Jf wamesoma muundo wa semester lakini GPA zao ni za zimamoto yaani hovyo kabisa hata kuzitazama
Leo hii vijana wanafundishwa chuo kikuu jinsi ya kuunganisha sentensi za Kiingereza kwani kichwani ni empty
Hata kama maoni yake huwachoma baadhi ya wafia vyama yaani ccm na Chadema, Kwa watu ambao wapo kati hawaegemei kushoto au kulia Bana ni kichwa kubwa darasani
Povu la sabuni ya kipande aina ya Jamaa linaruhusiwa