SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Na Mwandishi Wetu
Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ali Kakurwa leo 9 Februari, 2019 amefanya ziara kikazi ya siku moja mkoani Morogoro ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 42 ya kuzaliwa kwa Chama Cham Mapinduzi
Katika kata ya Msowero wilaya ya Kilosa Katibu Mkuu Bashiru alishiriki ujenzi wa Taifa zahati ya Msowero katika jengo la kujifungulia wakinamama wajawazito linalojengwa kwa nguvu za wananchi.
Baadae alipata nafasi ya kuwatembelea wagonjwa majumbani kuwasalimia na kuwatakia afya njema nawapone haraka ili kuungana katika ujenzi wa Taifa.
Aidha Katibu Mkuu Bashiru alipata nafasi ya kuzungumza na viongozi wa chama na Serikali katika viwanja shule ya Msingi Tame ambapo pia alisikiliza changamoto mbali mbali zinazowahusu wananchi wa wilaya ya Kilosa.
" Kazi Ni Kipimo cha Utu,Chapa Kazi Tulinde Uhuru na Utaifa Wetu"
Miaka 42 ya Kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi
#MorogoroYaKijaniInawezekana #TuwePamoja #TusikubaliKugawanyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ali Kakurwa leo 9 Februari, 2019 amefanya ziara kikazi ya siku moja mkoani Morogoro ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 42 ya kuzaliwa kwa Chama Cham Mapinduzi
Katika kata ya Msowero wilaya ya Kilosa Katibu Mkuu Bashiru alishiriki ujenzi wa Taifa zahati ya Msowero katika jengo la kujifungulia wakinamama wajawazito linalojengwa kwa nguvu za wananchi.
Baadae alipata nafasi ya kuwatembelea wagonjwa majumbani kuwasalimia na kuwatakia afya njema nawapone haraka ili kuungana katika ujenzi wa Taifa.
Aidha Katibu Mkuu Bashiru alipata nafasi ya kuzungumza na viongozi wa chama na Serikali katika viwanja shule ya Msingi Tame ambapo pia alisikiliza changamoto mbali mbali zinazowahusu wananchi wa wilaya ya Kilosa.
" Kazi Ni Kipimo cha Utu,Chapa Kazi Tulinde Uhuru na Utaifa Wetu"
Miaka 42 ya Kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi
#MorogoroYaKijaniInawezekana #TuwePamoja #TusikubaliKugawanyika
Sent using Jamii Forums mobile app