Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,794
- 71,214
Ukiwa katika ibada ya mazishi ya Dkt. Reginald Mengi kule Moshi ulimuombea msamaha Makonda kwa tabia zake mbaya zisizo za kiuongozi
Pia uliahidi kuwa utaendelea kumfundisha ajirekebishe kwani ulikiri kuwa CCM ilikuwa imeshindwa kuandaa vijana kuwa viongozi. Je, baada ya zaidi ya mwaka umefanikiwa kumrekebisha au bado yuko vile vile?
Na kama hajajirekebisha nini kinakufanya kama Katibu mkuu ushindwe kumshughulikia?
Pia uliahidi kuwa utaendelea kumfundisha ajirekebishe kwani ulikiri kuwa CCM ilikuwa imeshindwa kuandaa vijana kuwa viongozi. Je, baada ya zaidi ya mwaka umefanikiwa kumrekebisha au bado yuko vile vile?
Na kama hajajirekebisha nini kinakufanya kama Katibu mkuu ushindwe kumshughulikia?