Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Rais Magufuli hataongeza hata sekunde moja baada ya Awamu yake kuisha

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,076
4,113
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiwa Chato wakati wa kuwanadi wagombea wa CCM ameonya kwamba kuna wazushi wanasema kwamba CCM inatafuta viti vingi vya Ubunge ili wakiingia Bungeni wabadili Katiba ili Rais Magufuli aongezewe muda.

Ameongeza kwamba Rais Magufuli anaomba miaka mitano mingine na muda wake ukiisha basi hataongeza hata sekunde moja ya Utawala.

Dkt. Bashiru amesema:

"Mgombea wetu wa Urais Dkt. Magufuli anaomba kura kwa ajili ya kipindi chake cha pili, akimaliza hapo hataongeza hata sekunde. Uvumi kwamba kupitia wingi wa wabunge wa CCM atabadilisha Katiba ili aendelee kuongoza, ni uongo. Upuuzeni"

Bashiru.jpg
 
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiwa Chato wakati wa kuwanadi wagombea wa CCM ameonya kwamba kuna wazushi wanasema kwamba CCM inatafuta viti vingi vya Ubunge ili wakiingia Bungeni wabadili Katiba ili Rais Magufuli aongezewe muda.

Ameongeza kwamba Rais Magufuli anaomba miaka mitano mingine na muda wake ukiisha basi hataongeza hata sekunde moja ya utawala.
Sisi inatuhusu nini?
 
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiwa Chato wakati wa kuwanadi wagombea wa CCM ameonya kwamba kuna wazushi wanasema kwamba CCM inatafuta viti vingi vya Ubunge ili wakiingia Bungeni wabadili Katiba ili Rais Magufuli aongezewe muda.

Ameongeza kwamba Rais Magufuli anaomba miaka mitano mingine na muda wake ukiisha basi hataongeza hata sekunde moja ya utawala.


Dkt. Bashiru amesema...

"Mgombea wetu wa Urais Dkt. Magufuli anaomba kura kwa ajili ya kipindi chake cha pili, akimaliza hapo hataongeza hata sekunde. Uvumi kwamba kupitia wingi wa wabunge wa CCM atabadilisha Katiba ili aendelee kuongoza, ni uongo. Upuuzeni"


Tangu lini ccm wakawa wakweli?
 
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiwa Chato wakati wa kuwanadi wagombea wa CCM ameonya kwamba kuna wazushi wanasema kwamba CCM inatafuta viti vingi vya Ubunge ili wakiingia Bungeni wabadili Katiba ili Rais Magufuli aongezewe muda.

Ameongeza kwamba Rais Magufuli anaomba miaka mitano mingine na muda wake ukiisha basi hataongeza hata sekunde moja ya utawala.


Dkt. Bashiru amesema...

"Mgombea wetu wa Urais Dkt. Magufuli anaomba kura kwa ajili ya kipindi chake cha pili, akimaliza hapo hataongeza hata sekunde. Uvumi kwamba kupitia wingi wa wabunge wa CCM atabadilisha Katiba ili aendelee kuongoza, ni uongo. Upuuzeni"

Nyooo hatudanganyiki ng'o kusema mseme tena bungeni halafu wewe utuletee alinacha hapa! Jiandaeni mfungashe nyie vibwengo wakubwa nyie mnataka kung'ang'ania kodi zetu??!! Imerudiwa mara nyingi sana kuwa hamtaki wabunge wajenga hoja ila wa kutimiza akidi za kupitisha uchafu wenu. Dalili ni nyingi sana Hivi sema mantiki ya kuengua wapinzani pekee ni ipi? Bashiru we muislamu kobe kabisa!
 
Mbona CCM haiwakemei wanachama wake wanaoisukuma hoja hii!!

Pia Spika wa Bunge alimwambia Mbunge Kessy kuwa hiyo ni hoja ya Bunge lijalo!!

Yupi kati ya hawa makada wa CCM tumwamini sasa?

Kabisa, maana bunge ndio linalotunga sheria na bunge linaonyesha kabisa litamuongezea kwa kificho cha kumlazimisha rais, hata kama hataki. Isitoshe huyo Bashiru ni mchekeshaji tu wa mfalme na hana maamuzi yoyote ndani ya ccm.
 
Mbona CCM haiwakemei wanachama wake wanaoisukuma hoja hii!!

Pia Spika wa Bunge alimwambia Mbunge Kessy kuwa hiyo ni hoja ya Bunge lijalo!!

Yupi kati ya hawa makada wa CCM tumwamini sasa?
Kessy nina wasi wasi kama atarejea bungeni kwa muziki Aida Kenani kule Nkasi.

Ni vyema tukahakikisha wabunge wanaopush ajenda ya kuongeza muda hawarejei bungeni.
 
Back
Top Bottom