kimeloki
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 2,730
- 2,832
Dkt Bashiru, ifike wakati ueleze mikakati ya chama chetu kuelekeza serikali kuongeza juhudi kwenye kuvutia wawekezaji wa ndani na nje kwenye viwanda, kilimo, mikopo nafuu kwa vijana nk hao wakina Mollel nakadhalika tuliowachukua wametupa faida gani? Siasa nyepesi tuwaachie wale class seven wenzangu Msukuma, Lusinde n.k