Dkt. Bashiru na Polepole sasa ni wabunge wa kuteuliwa, David Silinde na Katambi ni Mawaziri

walitumia nguvu nyingi sana kumwabudu mwendazake ni wapuuzi, yan pamoja na lipaulo ni wapumbavu wakutupwa
Bashiru alidhani kafika hata mwondoko ukawa mpya.
Alijisahau kwa kasi kubwa sana
Kwake JIWE ikawa ndio wimbo uliyo bora, DOLA ikawa TUMAINI kuu la kujivunia badala ya kuhuisha maisha ya watanzania.
Hata hivyo, kwa haya yote, Mungu mwenye upendo kamsaidia aweze kujitafakari ajifunze ili aanze upya, AKUE.
Aliyekuwa mungu kwao, Mwendazake, hakujaaliwa kupata fursa hiyo, kaishia kwenda na mamizigo yake.
 
Wakati mwingine ukifikiria sana siasa utagundua ni ubatili mtupu yaani ni bora umrejee muumba wako.

Yaani leo hii ndio kusema maswali ya Dr Bashiru na komredi Polepole yanaenda kujibiwa na akina Gekui, Waitara, Silinde, Katambi na Dr Mollel kule bungeni?

Kwamba, David Silinde ana mfuko wa Jimbo lakini Bashiru na Polepole hawana?!!!

Jamani mwacheni Mungu na aitwe Mungu.

Kazi Iendelee!
Unaonaje nawe upatiwe viti maalum ukajiunge na shosti yako Halima Mdee?
 
Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!

We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Nilisha kwambia toka mwanzo kuwa Bashiru atafukuzwa kazi kutoka ikulu maana hana sifa ya kuishi maisha ya ikulu.

Naona sasa akili yako inazidi kukutesa unafikia hata kubishana na lumumba wenzako.

Bashiru hakustahili kukanyaga ikulu.
 
Kwa kweli tunawachukia Sana. Ni watu waliojitoa akili zao kumwabudu Mwendazake. Wacha tuwachambe roho zetu zifurahi
Mimi kwangu hao watu ni maadui wa siasa za kistaarabu hapa Tanzania tangu tupate uhuru.
 
"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.

Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu loyal sana.

Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"

Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Hakuna lolote eti alimuhangaikia, kwani yeye ni Mungu?
 
"Rip magufuli. Bashiru pamoja na kusingiziwa wizi ila baadhi ya watanzania wachache tunajua bashiru alipambania sana afya ya jpm.

Nyie hamuwezi kuelewa mnawaza figisu za kisiasa.ila ipo siku mtajua ni kiasi gani alimuangaikia jpm. Bashiru ni mtu loyal sana.

Bashiru hicho kidogo ulichokifanya Mungu akubariki.zile rimot control usingefanya zaidi ya hapo.wachache tu ndo tunatambua msaada yako.Mungu akulinde"

Alisikika mtu mmoja akitamka maneno haya.
Kumbe alipambania afya ya mtu aliyekuwa akitutesa?
Kwa lugha nyepesi alikuwa akipambania ugali wake... Apambane na hali yake

Tangu chifu ameanguka hatujasikia tena utekaji, mauaji ya kisiasa, wafungwa wa kisiasa, kubambikia watu kesi na mambo mengine ya Hovyohovyo.
 
issue sio siasa, Tanzania siasa tunaitafsiri tofauti lakini siasa ndio inaamua maisha ya watu...siasa ikiwa mbovu na ya hovyo basi hata maisha ya watu yatakuwa mabovu na yahovyo..

Tujifunze kuishi na kutenda kwa haki, tuache kona kona na ujanja ujanja hasa wa kuonea na kunyanyasa wengine ...
Walitutesa sana hawa majamaa na kama ingekuwa ni maamuzi yangu hawa wangekuwa jela kabisa.
 
Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!

We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Kwani huna taarifa kuwa Bashiru kapiga hela ndefu pale BOT?
Eti ana uchungu na pesa za umma pumbavu kabisa
 
issue sio siasa, Tanzania siasa tunaitafsiri tofauti lakini siasa ndio inaamua maisha ya watu...siasa ikiwa mbovu na ya hovyo basi hata maisha ya watu yatakuwa mabovu na yahovyo..

Tujifunze kuishi na kutenda kwa haki, tuache kona kona na ujanja ujanja hasa wa kuonea na kunyanyasa wengine ...
Tangu nikiwa mtoto mdogo mzee wangu alikuwa ana insist kwamba hata siku moja nisipuuzie masuala ya siasa kwa kuwa zinahusika sana katika kuzalisha baadhi ya viongozi ambao ni waadirifu na baadhi ya viongozi wengine ambao ni madikteita na wakatiri wa kutupwa.

Karudia kunikumbusha kwa mara nyingine tena kwamba mwanangu hata siku moja wewe na familia yako msipuuzie kwenda kupiga kura kwa imani kwamba hayo haya wahusu - yana wahusu sana sana - siasa ndio kila kitu hasikudanganye mtu.
 
Bashiru na Polepole" Ni wabunge wa KUTEULIWA na RAIS " na Sio wabunge wa viti Maalum.Ubunge wa viti Maalum wanapewa jinsia ya kike TU.Lakini wabunge wa KUTEULIWA na RAIS ANAWEZA akawa wa jinsia yoyote(Mwanamke au Mwanaume)
Vp kuhusu mfuko wa Jimbo wanapewa?
 
Kuna wakati huwa nawaza
Pengine mwendazake alijiona siku zake zinakaribia akaona bora hao watu wawili awateue kuwa wabunge nafasi ambayo hawawezi kupokonywa kirahisi maana nafasi walizokuwa nazo za kichama lazima wangepokonywa ukizingatia sio ccm asilia na walikuwa against ccm asilia

Nawaza tu
 
Watanzania bwana??? Yaani muda wote ni kufikiria huyu atafahidika nini, atanufahika vipi kifedha, basi - ni wachache wanao tilia maanani kutumikia/hudumia wananchi!!!

We fikiria mtu anajitokeza na anaonekana amefurahi kupindukia, kisa? Komredi Polepole na Dk.Bashiru hawapewi mfuko wa jimbo - yaani anataka na hiyo tuichukulie kama ni habari ya maana - kumbe lengo lake la kubandika habari hizi hapa linatokana na kusukumwa na chuki binafsi kuwahusu watu hawa wawili: H.Pole Pole na Dk. Bashiru kutokana na misimamo yao dhabiti dhidi ya wizi na ubadhirifu na uporaji wa mali za CCM na mashirika ya UMMA in general
Hakuna chuki kila habari na mafundisho yake hata bandiko hili ni funzo kwako na wengine kuwa cheo ni dhamana.
 
Back
Top Bottom