Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,416
- 15,971
10 M monthly..Eti leo Bashiru ni wa kumfanyia hivi Kikwete kweli ?
Anajitolea tu ana uchungu na chama na nchi hiiHivi katibu mkuu wa CCM analipwa bei gani kwa mwezi labda mjadala uanzie hapo
si kwa mimi , hiyo 10ml kweli ni hela lakini si kwa kila mtu10 M monthly..
Hata ww ungejotoa ufahamu. Japo kwa muda tu.
Huenda wamebaini msimamo wake kwa sasa hasa kwa kuwananga makatibu wake wakuu na wengine kumtukana Mh Kikwete bila kukalipiwa na wateule wao.Wametumwa kumtukana Kikwete wakidhani kwa kufanya wanamjenga mtu wao aliyekosa maarifa ya kuongoza nchi.
Was this necessary?
Chuki tu ya kusahauliwa.Mimi ni CCM asili ninayewashangaa hawa CCM waliookotwa majalalani
Suala sio itakuchukua miaka mingapi, suala ni unataka PHD ili iweje, hebu kwanza waangalie wenzako wenye PHD wanayoyafanya, unaona ni ya kujivunia kweli?Hivi nikianza form one mwakani inaweza kunichukua miaka mingapi ili niwe na PHD, Msaada tafadhali.
Kumtukana MTU ambaye alikuweezesha kufika ngazi ya juu na unajua katiba yetu hawezi kukujibu in ukosefu Wa adabu
Lakini Mh. Lissu alituonya kuwa wakimalizana na sisi watakuja kwenu
. Safi sana maana walimjua lakini wakampa nchi awashughulikie tu. Na wao si waliwashughulikia wenzao hadi kuna mawaziri walitumika jela za nje . malipo ni hapa hapa duniani ahera kwa Mungu ni kufunga hesabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Bashiru ameamua kumkejeli na kumtusi JK waziwazi. Au labda anaongea kinyume.