Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Dr. Bashiru ni Mbunge wa kuteuliwa ambaye kama walivyo Wabunge 19 wa upinzani ameonyesha kushindwa kabisa kurejesha confidence na taaluma yake ndani ya bunge. Nakubali ndugu yangu huyu alikengeuka akajione next to president but may be hakuwa yeye Bali waliomzunguka.
Dr. Bashiru ameshiriki kuwapeleka Bungeni Wabunge asiimia Kubwa waliopo Sasa, wengi wasingepita ila Kwa figusu za Bashiru walipita. Anamkono Kwa akina Mdee na naamini endapo akina Mdee wangeakikishiwa usalama wao Leo Hii wakaeleza walifika vipi Bungeni naamini Bashiru atatajwa. Tukumbuke hata kuapishwa walikula kiapo Nje ya Ukumbi wa Bunge.
Kutokana na msongo wa mawazo alionao Dr. Anatakiwa akakae sehemu hata kama hadhi yake ni ndogo basi atulie apunguze stress za masimango yakivitendo anayopitia. Anapitia sonona isiyo na kifani na naamini anatamani kuondoka ila ataelewekaje?
Kuliko kuendelea kulipwa posho Bure Bungeni huku akiwa azalishi Wala kuchangia chochote Bora apangiwe KAZI nyingine kama Polepole. Aliowapigania waingie Bungeni bila UCHAGUZI huru Leo wanamwangalia kama ibanana , so sad.
Dr. Bashiru ameshiriki kuwapeleka Bungeni Wabunge asiimia Kubwa waliopo Sasa, wengi wasingepita ila Kwa figusu za Bashiru walipita. Anamkono Kwa akina Mdee na naamini endapo akina Mdee wangeakikishiwa usalama wao Leo Hii wakaeleza walifika vipi Bungeni naamini Bashiru atatajwa. Tukumbuke hata kuapishwa walikula kiapo Nje ya Ukumbi wa Bunge.
Kutokana na msongo wa mawazo alionao Dr. Anatakiwa akakae sehemu hata kama hadhi yake ni ndogo basi atulie apunguze stress za masimango yakivitendo anayopitia. Anapitia sonona isiyo na kifani na naamini anatamani kuondoka ila ataelewekaje?
Kuliko kuendelea kulipwa posho Bure Bungeni huku akiwa azalishi Wala kuchangia chochote Bora apangiwe KAZI nyingine kama Polepole. Aliowapigania waingie Bungeni bila UCHAGUZI huru Leo wanamwangalia kama ibanana , so sad.