Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,462
- 4,541
Graph Ina negative slopeKatibu mkuu wa chama -> Katibu Mkuu Kiongozi -> mbunge wa viti maalum
Mliosoma sayansi hii graph inaitwaje?
Graph Ina negative slopeKatibu mkuu wa chama -> Katibu Mkuu Kiongozi -> mbunge wa viti maalum
Mliosoma sayansi hii graph inaitwaje?
Huyu kaTANGA Ni mtu wa TANGA mwenzangu?
Arudi Kemondo kuuza ndizi!Sema hyu bashiru hata jina lake tuu wazi linaonesha hafai kua kuongozi
You are dreaming my dear brother.
Tumeanza na KMK ndugu B.
The guy was so powerful hata baadhi ya mawaziri walikua wsnamuogopa. Alikua anasema ovyo anavyotaka. Eti ukikamata Dola, Dola imemponyoka hata mwaka haujaisha.
Kuna usemi usemao. Ukila nyama usifungue mdomo watu wakaona unakula nyama, maana kesho utakula matembele.
Unbalanced equation.. Chemistry formula compromised
Hili ndo tatizo kubwa hapa msamaha kapewa Sana tu.Bashiru was fooled by some people walizokuwa na kiu ya nafasi za kiuongozi katika taifa wakitaka kuimanipulate katiba! Kitendo Cha kumpangia mama ziara ya siku 7 huku wakijua kuwa Mambo hayakuwa sawa hospitalini ni uhaini!
Hata hivyo ashukuru mama Hana hasira na amempuuza na kumsamehe! Akatubu na kumuomba mama msamaha pindi apatapo nafasi!
Hata hivyo aliyo ipata bado ni kubwa alipaswa kurudishwa alikotoka akawe Mkuu wa idara !!!Tuendelee kukumbuka Cheo ni dhamana.. hakuna aliezaliwa nacho ...
Apambane na hali yake
Huwa nikitafakari ili suala huwa naumia sana , Yani mtu mgonjwa hafu mtu anakupangia ziara ya siku sita far away from office.Bashiru was fooled by some people walizokuwa na kiu ya nafasi za kiuongozi katika taifa wakitaka kuimanipulate katiba! Kitendo Cha kumpangia mama ziara ya siku 7 huku wakijua kuwa Mambo hayakuwa sawa hospitalini ni uhaini!
Hata hivyo ashukuru mama Hana hasira na amempuuza na kumsamehe! Akatubu na kumuomba mama msamaha pindi apatapo nafasi!
Forgotten...(for good)
PulseKatibu mkuu wa chama -> Katibu Mkuu Kiongozi -> mbunge wa viti maalum
Mliosoma sayansi hii graph inaitwaje?
Bei gani Bwasheee?Lazima afanye hivi kuna kafara lake naweza kumsaidia...kafara la kutengua kauli au kiapo
Maisha yanaenda kasi sana