Dkt. Bashiru Ally ni Public Servant au Civil servant?

Wanasheria mtusaidie. Sheria inasemaje pale mtumishi wa Umma anapochaguliwa kuwa Kiongozi kwenye chama cha siasa? Je, nafasi yake ya Utumishi wa Umma inakoma au anaweza kuomba likizo Wakati akifanya kazi za chama na akaendelea kuwa mtumishi wa Umma? Turejee yaliyotokea kwa wafanyakaz wa serikali waliotia nia kugombea nafasi mbalimbali za Uongozi Wakati wa uchaguzi mkuu uliopita. Kitendo kilichosabaabisha mishahara yao izuiliwe. Ni kwa mantiki hiyo naamini utumishi wa Umma wa Bashiru ulikoma alipokubali na kuapishwa kuwa Katibu Mkuu wa chama. Yaliyoendelea baada ya hapo ni uchafuzi tuu.
 
Wanasheria mtusaidie. Sheria inasemaje pale mtumishi wa Umma anapochaguliwa kuwa Kiongozi kwenye chama cha siasa? Je, nafasi yake ya Utumishi wa Umma inakoma au anaweza kuomba likizo Wakati akifanya kazi za chama na akaendelea kuwa mtumishi wa Umma? Turejee yaliyotokea kwa wafanyakaz wa serikali waliotia nia kugombea nafasi mbalimbali za Uongozi Wakati wa uchaguzi mkuu uliopita. Kitendo kilichosabaabisha mishahara yao izuiliwe. Ni kwa mantiki hiyo naamini utumishi wa Umma wa Bashiru ulikoma alipokubali na kuapishwa kuwa Katibu Mkuu wa chama. Yaliyoendelea baada ya hapo ni uchafuzi tuu.
Kwa hiyo Dr Slaa ambaye hakuwahi kuwa Public Servant bali Padre na Katibu wa Chadema

Leo Rais amemteua kuwa Balozi nafasi ya Public Servant, Angeteuliwa kuwa katibu kiongozi ungesemaje?
 
Sheria za utumishi wa umma zinaruhusu mtumishi kuwa mwanachama wa chama cha siasa, tena kufikia ngazi ya katibu mkuu wa chama? acheni uzwazwa, eti yupo likizo...
 
View attachment 1713665

Hiyo ndio definition inayotakiwa kutumika on what is a Civil Servant kwa nchi za madola.

You can google the Tomlin Commission, yeye na team yake walipewa kazi ya kutafsiri majukumu ya civil services.

Kwa ivyo Dr Bashiru as a Lecturer ni civil servant. In other words mtumishi yoyote anaefanya kazi serikalini au taasisi zake ambazo zipo chini ya wizara ni civil servant.

..Bashiru WAS a civil servant when he WAS at UDSM.

..alipojiunga na CCM ndio ukawa mwisho wake wa kuwa civil servant.

..sheria za Tz zinakataza civil servant kujihusisha na active-politics.
 
..Bashiru WAS a civil servant when he WAS at UDSM.

..alipojiunga na CCM ndio ukawa mwisho wake wa kuwa civil servant.

..sheria za Tz zinakataza civil servant kujihusisha na active-politics.
Sheria inasema pia ukishakuwa mwanasiasa uwezi tena ajiriwa serikalini? Mbona mama Migiro amekuwa akienda back and forth kwenye civil services and politics.
 
Sheria inasema pia ukishakuwa mwanasiasa uwezi tena ajiriwa serikalini? Mbona mama Migiro amekuwa akienda back and forth kwenye civil services and politics.

..unadhani unaweza kuwa mbunge halafu muda wako unapokwisha ukarudi wizarani kuwa mkurugenzi?
 
Sheria inasema pia ukishakuwa mwanasiasa uwezi tena ajiriwa serikalini? Mbona mama Migiro amekuwa akienda back and forth kwenye civil services and politics.
Kafulila alikuwa mwana siasa akawa RAS Songwe
 
..unadhani unaweza kuwa mbunge halafu muda wako unapokwisha ukarudi wizarani kuwa mkurugenzi?
Put it this way civil services works on meritocracy ascendency to the top depends on experience, matching skills for the role and the right knowledge; nadhani ndio maana wanawaendeleza kielimu watu wao wanapotoka kwenye work floor kuelekea wizarani.

Kwa maana hiyo makatibu wakuu, wakurugenzi wa wizara, wakuu wa mikoa na wengineo wote walioteuliwa na raisi from outside and some from within from very low ranks of civil services hawana sifa za kushika nafasi walizokabidhiwa ndani ya seriki.

But then katiba imempa raisi mamlaka ya kuteua and it very generic hakuna criteria ya fulani anafaa wapi na kwanini. So only he has to do, is apply his common sense kwa nafasi fulani walau mtu awe na elimu fulani na experience fulani ili amteue; maana yake ni utashi wake.

Hakuna sheria inaweza kutoa muongozo tofauti na ibara 36 ya katiba so yes in reality Mbunge anaweza kuwa mkurugenzi wa wizara provided raisi atamteua (akishashika hiyo nafasi anatakiwa kuacha unazi wa kichama) otherwise wao wenyewe huko mawizarani awawezi ku-consider mmbunge fulani awe mkurugenzi, au waokote tu govenor from no where, katibu mkuu kiongozi etc; wana taratibu zao za kufanyianya appraisal and promotion in line with their succession planning.
 
Vyoote mnavyojadili hamuwez kufikia muafaka kwa sababu ya namna teuzi zinazofanyika..zaman mkurugenz wa halmashauri ni lazima alikuwa anatoka ndan ya utumishi wa umma hatakama ni nafasi ya uteuzi kutoka kwa Raisi...awamu hii kuna watu ajira yao ya kwanza ndan ya utumishi wa umma wameanzia kwenye ukurugenz ( mfano kamoga alikuwa clouds) as long amechaguliwa na mwenye mamlamka ya kumchagua tayar anafit..kwenye hilo la bashiru labda ndio maana akachaguliwa kuwa balozi kwanza apate sifa then mengine yafuate
 
Put it this way civil services works on meritocracy ascendency to the top depends on experience, matching skills for the role and the right knowledge; nadhani ndio maana wanawaendeleza kielimu watu wao wanapotoka kwenye work floor kuelekea wizarani.

Kwa maana hiyo makatibu wakuu, wakurugenzi wa wizara, wakuu wa mikoa na wengineo wote walioteuliwa na raisi from outside and some from within from very low ranks of civil services hawana sifa za kushika nafasi walizokabidhiwa ndani ya seriki.

But then katiba imempa raisi mamlaka ya kuteua and it very generic hakuna criteria ya fulani anafaa wapi na kwanini. So only he has to do, is apply his common sense kwa nafasi fulani walau mtu awe na elimu fulani na experience fulani ili amteue; maana yake ni utashi wake.

Hakuna sheria inaweza kutoa muongozo tofauti na ibara 36 ya katiba so yes in reality Mbunge anaweza kuwa mkurugenzi wa wizara provided raisi atamteua (akishashika hiyo nafasi anatakiwa kuacha unazi wa kichama) otherwise wao wenyewe huko mawizarani awawezi ku-consider mmbunge fulani awe mkurugenzi, au waokote tu govenor from no where, katibu mkuu kiongozi etc; wana taratibu zao za kufanyianya appraisal and promotion in line with their succession planning.

..ni MWIKO kwa watumishi wa serikali na umma kujihusisha na active politics.

..Dr.Bashiru alipoondoka UDSM na kwenda kuwa katibu mkuu wa CCM alivunja mwiko huo.

..sababu hiyo ndiyo inayonifanya nione uamuzi wa kumteua kuwasimamia civil servants siyo sahihi.

..mimi ningekuwa mshauri wa Raisi ningemwambia atafute Katibu Mkuu Kiongozi mwingine ambaye hana makando-kando ya KISIASA.

..Katiba na Sheria haziwezi kutuambia makatazo yote, au mambo yote na jinsi ya kuyafanya, wakati mwingine tunatakiwa tutumie BUSARA.

..Mwisho, nchi hii ni yetu sote, siyo ya CCM peke yao.
 
..ni MWIKO kwa watumishi wa serikali na umma kujihusisha na active politics.

..Dr.Bashiru alipoondoka UDSM na kwenda kuwa katibu mkuu wa CCM alivunja mwiko huo.

..sababu hiyo ndiyo inayonifanya nione uamuzi wa kumteua kuwasimamia civil servants siyo sahihi.

..mimi ningekuwa mshauri wa Raisi ningemwambia atafute Katibu Mkuu Kiongozi mwingine ambaye hana makando-kando ya KISIASA.

..Katiba na Sheria haziwezi kutuambia makatazo yote, au mambo yote na jinsi ya kuyafanya, wakati mwingine tunatakiwa tutumie BUSARA.

..Mwisho, nchi hii ni yetu sote, siyo ya CCM peke yao.
Ndio maana kuna administration laws za kusimika taratibu ziwe constitency and predictable.

However sectorial understanding alone are not laws per, well unless applied in contract disputes.

Kila mtu ana feelings zake lakini uteuzi wa Dr Bashiru ni lawful na hilo ndio la msingi. Ata hiyo sheria ya public service act ukiisoma ai apply kwa teuzi za raisi.
 
Ndio maana kuna administration laws za kusimika taratibu ziwe constitency and predictable.

However sectorial understanding alone are not laws per, well unless applied in contract disputes.

Kila mtu ana feelings zake lakini uteuzi wa Dr Bashiru ni lawful na hilo ndio la msingi. Ata hiyo sheria ya public service act ukiisoma ai apply kwa teuzi za raisi.
..I have my reservation as to whether the appointment is lawful.

..I also believe that it is not in line with civils servants code of conduct, and ethics.

..You have your views about the appointment, and I respect them. Lets just agree to disagree.
 
Unao ujinga mwingi sana bwashee, jaribu kuuficha mbali huenda utakufaa huko huko mbeleni!
 
Wanabodi, Leo ndio nimeamini Kiswahili ni muhimu sana kuliko hizi lugha za kigeni, Watu wameshindwa kuelewa haya maneno ya kiingereza yanatumika kwa kupishana (Interchangeable) na yana maana moja katika muktadha tofauti

Public servant au Civil servant hutumika kwa mtu yeyote anayefanya kazi za uma au jamii na kulipwa pesa za walipa kodi

Public servant au Civil servant anaweza akawa yupo kwenye taasisi za serikali , Serikali za mitaa au Serikali kuu na amechaguliwa kufanya kazi hiyo

Walimu, Polisi, Madaktari ,Wauguzi wote hao ni Public servant au Civil servant endapo tu wanalipwa kodi za uma


Public servant au Civil servant baada ya kuchaguliwa au kujiunga yampasa kutofanya kazi za kisiasa yaani(Political related)

Kuna watu wanahoji eti Rais amevunja katiba ni katiba ipi mnayoongelea ambayo inasema Public servant au Civil servant haihusishi vyuo vikuu hasa chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni taasisi ya uma na wafanyakazi wake wanalipwa kodi za wananchi hivyo basi Dkt Bashiru yeye pale Chuo kikuu anahesabika ni mwalimu wa uma(Public Servant) anayeelimisha jamii (Social Servant) ambaye yupo likizo.

Dkt Bashiru Ally pamoja na Dkt Kitila Mkumbo pale chuo kikuu wanahesabika ni watumishi wapo likizo, Kazi zao za uteuzi kwenye nafasi za uma yaani Public Servant au kwenye nafasi za jamii yaani Social servant haziwazui kurudi chuo kikuu baada ya kuacha

Hoja ya kuwa Bashiru ni Public servant au Civil servant ni watu kukosa uelewa na tafsiri ya maneno.

Hoja hupingwa kwa hoja mwenye hoja kuwa Bashiru sio Public servant au Civil servant alete Definition zake hapa toka kwenye shule zake za kata au toka Oxford School of linguistic ili tumsaidie kutafsiri kwa kiswahili na sio kutafsiri kwa kinyakyusa au kichaga.

Hongera Rais Magufuli, Watapambana lakini hawatashinda, Tutaendelea kutumia ShiKwambi (Shinda kwa mbinu) na mwaka 2025 ni ushindi usio na kifani (landslides Victory)

Naunga mkono Serikali na Mahakama waendelee kutafsiri sheria na kanuni ziwe kwa kiswahili maana lugha za kigeni ni tatizo kubwa watu wanajadili maneno yenye maana moja yaani Public na Civil servant bila kuangalia context (au Muktad
(watumishi wa wananchi) ni viongozi kama (RC,DC,DAS,DED,MINISTERS ) na wateule wote wa RAIS ambao Rais anawateua.

Civil servant (ni watumishi wa
Wanabodi, Leo ndio nimeamini Kiswahili ni muhimu sana kuliko hizi lugha za kigeni, Watu wameshindwa kuelewa haya maneno ya kiingereza yanatumika kwa kupishana (Interchangeable) na yana maana moja katika muktadha tofauti

Public servant au Civil servant hutumika kwa mtu yeyote anayefanya kazi za uma au jamii na kulipwa pesa za walipa kodi

Public servant au Civil servant anaweza akawa yupo kwenye taasisi za serikali , Serikali za mitaa au Serikali kuu na amechaguliwa kufanya kazi hiyo

Walimu, Polisi, Madaktari ,Wauguzi wote hao ni Public servant au Civil servant endapo tu wanalipwa kodi za uma


Public servant au Civil servant baada ya kuchaguliwa au kujiunga yampasa kutofanya kazi za kisiasa yaani(Political related)

Kuna watu wanahoji eti Rais amevunja katiba ni katiba ipi mnayoongelea ambayo inasema Public servant au Civil servant haihusishi vyuo vikuu hasa chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni taasisi ya uma na wafanyakazi wake wanalipwa kodi za wananchi hivyo basi Dkt Bashiru yeye pale Chuo kikuu anahesabika ni mwalimu wa uma(Public Servant) anayeelimisha jamii (Social Servant) ambaye yupo likizo.

Dkt Bashiru Ally pamoja na Dkt Kitila Mkumbo pale chuo kikuu wanahesabika ni watumishi wapo likizo, Kazi zao za uteuzi kwenye nafasi za uma yaani Public Servant au kwenye nafasi za jamii yaani Social servant haziwazui kurudi chuo kikuu baada ya kuacha

Hoja ya kuwa Bashiru ni Public servant au Civil servant ni watu kukosa uelewa na tafsiri ya maneno.

Hoja hupingwa kwa hoja mwenye hoja kuwa Bashiru sio Public servant au Civil servant alete Definition zake hapa toka kwenye shule zake za kata au toka Oxford School of linguistic ili tumsaidie kutafsiri kwa kiswahili na sio kutafsiri kwa kinyakyusa au kichaga.

Hongera Rais Magufuli, Watapambana lakini hawatashinda, Tutaendelea kutumia ShiKwambi (Shinda kwa mbinu) na mwaka 2025 ni ushindi usio na kifani (landslides Victory)

Naunga mkono Serikali na Mahakama waendelee kutafsiri sheria na kanuni ziwe kwa kiswahili maana lugha za kigeni ni tatizo kubwa watu wanajadili maneno yenye maana moja yaani Public na Civil servant bila kuangalia context (au Muktadha)
Kwa faida wasiolewa kama(gormles and moron ).
Chukua hii na ufanyie kazi na uelimishe wenzio

Public servant (mtumishi wa umma) ni mtumishi anaefanya kazi serikali kwa kuchaguliwa au kuteuliwa (selected and apointed) mara nyingi hawa ni viongozi wa kisiasa hawahitaji kufanyiwa interview wala kutuma maombi ya kazi.
Kundi hili utawakuta (Ma-Rc,Ma,DC,DAS,DED,Mawaziri,RAS AG,n.k),hao hawahitaji kuwa na qualification/requirement...kumbuka uhakiki haukuwagusa sio watumishi wa serikali hawa ni viongozi wa umma.

CIVIL SERVANT hawa ni watumishi wa serikali wanaofanya kazi za serikali kwa kuzingatia Vigezo (requirement) na kuingia mkataba na mwajiri...kundi hili kwa kifupi ni walimu,watendaji wa vijiji/kata,maafisa utumishi,maafisa mifugo,kilimo,madaktari, manesi n.k.

A public servant can be defined as a person who is elected or appointed by people or higher authorities in order to serve the general public. The term “public servant” is mostly used to refer to the politicians of a country’s government. These public servants always aim to serve common people in different ways. Unlike a civil servant, a public servant does not require educational qualifications or any other experience. It can be said that anybody can become a public servant if they are interested in social service and welfare.
A public servant can be defined as a person who is elected or appointed by people or higher authorities in order to serve the general public. The term “public servant” is mostly used to refer to the politicians of a country’s government. These public servants always aim to serve common people in different ways. Unlike a civil servant, a public servant does not require educational qualifications or any other experience. It can be said that anybody can become a public servant if they are interested in social service and welfare. Moreover, a public servant does not necessarily work for the government but they are able to work for the society voluntarily.

A civil servant can be defined as a selected person for a government department to offer his/her services for the government and for the general public. Usually, a civil servant is selected through a competitive examination or an interview, and he/she should possess required educational and professional qualifications; experience will also be an advantage. A civil servant is usually paid by the government for his/her services. Also, a civil servant can be recognized as a representative of the government as well. A civil servant may stand for the government and provide needed services to the general public. A civil servant’s duties and responsibilities are usually decided by his/her respective department officials.

Nadhani tumefunga mjadala.
 
Mtu radical maana yake ana strong feelings about something sio lazima mambo ya dini usikariri.

Unaweza ata kuwa radical environmentalist upo tayari kujifunga juu ya mti usikatwe.

Sasa kasome tena nilitumia neno radical kwa mukhtadha gani kulingana na misimamo ya huyo mtu.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Atleast nimekujua. Sorry mkuu sina muda wa kurudia kusoma yale tayar nimejiridhisha wewe ni mtu wa aina gani.

Until then, stay tuned.
 
Jibu lake Lipo hapa na hii sio Tz tu
"Provisional tax is not a separate tax from income tax. It is a method of paying the income tax liability in advance, to ensure that the taxpayer does not remain with a large tax debt on assessment. ... A third payment is optional after the end of the tax year, but before the issuing of the assessment by SARS.9 Jul 2020"
Ukiisoma post yake kuna mawili either story yake ni ya kutunga au biashara inakufa kutokana na sababu zingine which has nothing to do with taxation.

Kodi zinasiku zake za malipo kama ni VAT hiyo sio kodi ya biashara ni ya mlaji, kama huna hesabu (vat account na ushahidi wa receipts) utakadiriwa vinginevyo utalipa kutokana na ulichouza.

Corporate tax pia ina period yake utakadiriwa kama ujafunga hesabu zako za biashara ndani ya mwaka kwa wakati (nonetheless ukifanya hesabu zako its adjusted utalipa kodi halisi na fines zake za kuchelewa, huo ndio utaratibu duniani sio Tanzania).

Moreover corporate Tax inalipwa in instalment za quarterly ukitaka. Corporate tax ya 2020 unalipa 2021 tena kwa mafungu manne ndani ya miezi 12 sio yote kwa mkupuo, nchi ziliondelea nyingi ni miezi sita mpaka tisa kwa ivyo unaweza ona Tanzania biashara zinapewa muda zaidi.

We jiulize mbona wanaolalamikia kodi ni watanzania tu? Tena sio wafanyabiashara wakubwa. Ndio utapata majibu, most of these ppl inaonekana kodi yenyewe awaelewi inavyotozwa, wanaazisha story za grapevine ukisoma malalamiko yao unaona ata haya make sense.

Matatizo ya kodi ni kwa wafanyabiashara wadogo ambao wao awajui hata namna ya kutunza receipt, kuandaa ledgers, let alone preparing their income statement; hapo sasa ndio afisa mwenye tamaa wa TRA umempa uwanja wa kujiamulia, huo utaratibu inabidi ubadilike.
 
Back
Top Bottom