Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,694
Shughuli Hiyo imefanyika leo Babati Mkoani Manyara na Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa.
Jengo hilo la Ghorofa moja likikamilika litakuwa na Ofisi mbalimbali pamoja na Ukumbi wa Kisasa wa Mikutano.
Matumizi sahihi ya Rasilimali Zetu Huleta Matokeo Chanya Kwetu Sote
Jengo hilo la Ghorofa moja likikamilika litakuwa na Ofisi mbalimbali pamoja na Ukumbi wa Kisasa wa Mikutano.
Matumizi sahihi ya Rasilimali Zetu Huleta Matokeo Chanya Kwetu Sote