issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
MADAI YA KUMKWAMISHA JPM: Katibu mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amemtaka aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernald Membe kufika ofisini kwake kukanusha madai yanayomkabili.
Bashiru Ally ametema cheche hizi kwa waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe ambaye pia ni mwanachama wa CCM kufika ofisini kwake kuzungumzia tetesi zinazoenea kuwa anafanya mipango ya kutafuta kura 2020.
Bashiru Ally ametema cheche hizi kwa waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe ambaye pia ni mwanachama wa CCM kufika ofisini kwake kuzungumzia tetesi zinazoenea kuwa anafanya mipango ya kutafuta kura 2020.