Dkt. Ayub Rioba kwishaaa, leo hajai hata kwenye kiganja

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
48,776
102,138
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana
 
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana
Njaaa huponza welevu
 
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana


Nadhani wewe tatizo lako ulitaka upewe ukurugenzi tbc,sasa umekosa povu zimekua nyingi .
 
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana
Chezea thithiemu wewe! Muulize harakaharaka kama anamoyo wa kuzungumzia katiba mpya ile ya Mzee wetu.thubutuuuu.wote wamewekwa mthokoni.
 
Kuna mwingine naye anaitwa Polepole ati anatuaminisha kuna ccm mpya, hii nchi haiishi vituko na vichekesho, sijui hawa wapiga dili ni kina nani?

Hakuna tena cha kelele za katiba mpya wala serikali tatu, shenzi type njaa siyo mchezo.
Kuna mzee Warioba naye kapewa ulaji Pale SUA katiba mpya ndiyo imekwisha hivyo itabidi tuibuke damu changa na zinazotoka nje ya mfumo ili tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana
Chacha kageuka Hamiii(in Joti's voice).
 
Watoto wa kitaa tunasema mchawi mpe mwanao akulelee tuone kama atamroga

Nani anamkumbuka Rioba mchambuzi ''uso wa mbuzi". Tasnia ya habari ilililala pale,mzalendo wa kweli na mtetezi wa haki za wanahabari na wala habari

Leo hii ni Mkurugenzi wa TBC kawekwa na chama kwenye mfuko wa shati. Kimyaaaaa kama sio yeye.

Leo hii mwandishi anatiwa ndani na polisi Ayubu Rioba akiwa hana habari,sheria kandamizi inasainiwa na mteule wake sijawahi kumsikia hats akikohoa!

Hivi jamani ukiteuliwa na mtu usiye na imani naye ukakataaa utakuwa umevunja sheria ipi???Maana hii ni aibu kwa Mkurya,Yaaani Chacha anakuwa vile kweli

Inasikitisha sana
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako,kabla ya kuona kibanzi kwa mwenzio,!
Kuna watu walimwita lowassa fisadi lissu,mnyika,msigwa lema lakini leo wapo nae kamati kuu na wameufyata
 
40 Reactions
Reply
Back
Top Bottom