Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Nimemsikiliza asubuhi. Mkurugenzi wa Saharama media wakati akitoa mada katika club house moja iitwayo Mindset transformation. Akidai kuwa kwa uzoefu wake katika biashara na ujasirimali amebaini kuwa biashara nyingi zinakufa kwa sababu watazania wengi siyo waaminifu.
Amekwenda mbali na kusema kuwa wenye miradi wanatumia muda mwingi kushugulika wasiibiwe kuliko kushugulikia uendelevu wa miradi.
Ameeleza kuwa kupitia utafiti alioupata wakati akisaka PHD yake alibaini kuwa watu waaminifu kwa tanzania ni wapemba.
Msiklize kidogo hapa chini
Dialo-watz siyo waaminifu
Mjadala utaendelea kesho katika club hiyo hiyo hapo chini. kuanzia saa 12 asubuhi
MINDSET TRANSFORMATION
Amekwenda mbali na kusema kuwa wenye miradi wanatumia muda mwingi kushugulika wasiibiwe kuliko kushugulikia uendelevu wa miradi.
Ameeleza kuwa kupitia utafiti alioupata wakati akisaka PHD yake alibaini kuwa watu waaminifu kwa tanzania ni wapemba.
Msiklize kidogo hapa chini
Mjadala utaendelea kesho katika club hiyo hiyo hapo chini. kuanzia saa 12 asubuhi
MINDSET TRANSFORMATION