imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,676
- 71,034
Anaweza akatupa nguo miaka ishirini? wakati Mwalimu alikuwa anarogwa kila siku lakini anapambana huyu juzijuzi kawakimbia wazee wa Ruangwa.Mwalimu alikaa madarakani miaka 23, Magufuli tumpe miaka 20 tuu, at triple rekodi ya Mwalimu!.
P