Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,631
- 218,060
Tumemwambia Bi Mkubwa kwamba huyu kapuku wa mawazo hatakiwi kubakishwa serikalini .ππππππ
Tumemwambia Bi Mkubwa kwamba huyu kapuku wa mawazo hatakiwi kubakishwa serikalini .ππππππ
Bado mnasemaje kuhusu kuwekeza mabilioni kwenye ujinga? Watu tunataka hela , kama barabara zimetosha wacha tununue landcruiser zitakatiza hata kwenye mapori.
Mama ana busara ya kipekee sababu huwezi kumuondoa kibaraka wa mtangulizi wako mapema kabla unayetegemea kumpa ile nafasi kujifunza yaliyomo ndani na angefanya hivyo kungetokea mtikiso mkubwa ndani ya serikali yake. Vuta subira huyo ataondoka tu hapo na wapo baadhi pia wataondolewa na kubaki na ubungeSijui kwa nini Mh Samia amemrudisha huyu jamaa