Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Cha msingi ni kuelewa msemaji anamaanisha nini

Wahindi kiswahili hawakijui vizuri lakini tunaelewana nao bila shida wakiongea

Cha msingi kueleweka tu unamaanisha nini mfano unaomba maji unaweza sema water bring

Hakuna haja ya kukesha ukikariri kunyoosha sentensi
Sasa kulikuwa na Haja gani huyo Dr.abbas kuongea lugha ambayo haifahamu vizuri si angeongea kiswahili tuu au alilazimishwa?
 
Sisi watakaam wa syntax na semantic yupo sahihi. Kwa maana ya kueleweka, Si ameeleweka , ila ukiingia ndani sasa ndio tunasema ambiguities ipo
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Duh, umerusha jiwe gizani. Uzuri limempata (Dr. !!!) Abbas huko alipo.
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Mimi ningesema: Currently, a lot of reforms are ongoing in the Ministry. Ila cha msingi awe ameeleweka.
 
Dr. Abbas yuko sahihi kabisa. Ukimsikiliza vizuri, ametelezesha (amemeza) ^are^ kiasi kwamba msikilizaji ambaye ni GENTAMYCINE , kwa ubovu wake wa lugha, amechanganya ^s^ kwenye ^reforms^ akidhani ndicho kitenzi alichotumia Daktari.

Illustration: ^A lot of reformS (...) going on...^

It means, kwa mtu aliyezoea kunywa ngeli kama Dkt. Abbas, usipomsikiliza vizuri, huwezi kugundua kuwa kaitamka ^are,^ na hivyo ^s^ mwishoni mwa REFORMS ndiyo inaweza kudhaniwa kuwa ni kitenzi husika alichotumia.

Kuweni ^mar-key-knee^ mnapodhani mnakosoa, kumbe mnakosea!
 
Yupo sahihi kabisa gramatically ukishasema neno 'a lot' huwezi ukaweka neno 'are', a lot is used for uncountable objects ila ukitumia neno 'many' ndio unaweka 'are' kwa kuwa hutumika kwa vitu vinavyohesabika au 'countable objects'. Kwa mfano "There is a lot of noise outside' na 'There are many people in the office'.

Vijana mjifunze kiingereza sio kukosoa wenzenu, i rest my case!
 
Yupo sahihi kabisa gramatically ukishasema neno 'a lot' huwezi ukaweka neno 'are', a lot is used for uncountable objects ila ukitumia neno 'many' ndio unaweka 'are' kwa kuwa hutumika kwa vitu vinavyohesabika au 'countable objects'. Kwa mfano "There is a lot of noise outside' na 'There are many people in the office'.

Vijana mjifunze kiingereza sio kukosoa wenzenu, i rest my case!
Umetunga sentensi yako tofauti na ile ya mwanzisha-mada.

A lot of water has been spilt all over the floor.

A lot of serious individuals are murmuring over this present, corrupt regime.
 
Yupo sahihi kabisa gramatically ukishasema neno 'a lot' huwezi ukaweka neno 'are', a lot is used for uncountable objects ila ukitumia neno 'many' ndio unaweka 'are' kwa kuwa hutumika kwa vitu vinavyohesabika au 'countable objects'. Kwa mfano "There is a lot of noise outside' na 'There are many people in the office'.

Vijana mjifunze kiingereza sio kukosoa wenzenu, i rest my case!
There are a lot of people. If what follows "a lot" can be counted, it is considered plural. If what follows "a lot" cannot be counted, it is singular.

There is a lot of sugar. (Sugar is conventionally uncountable noun.)

There is a lot of furniture in the room.

There are a lot of problems to solve.
 
Zote sawa tu, ilimradi ameeleweka.
2 HAPANA kwa maoni ya ijapokuwa hata mm nakidandia tu .neno alot halafu reforms naona kidogo kuna ukakasi lkn namba 4 naona iko vzr lkn haya ni maoni yangu tu wako manguli wa hiyo lugha humu ndani kama akina Paskal Mayala wao walisoma HGL pale Ilboru watatusaidia.
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Namba 2, 3 na nne zote ni sahihi lkn 2 ni nzuri zaidi
 
Back
Top Bottom