Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,919
Dira ya maendeleo ni kufikia uchumi wa kati wa $3000 mwaka 2025. MATAGA wanapotosha kuwa tumefikia lengo kabla ya muda wakati ni UONGO.
Dira ya maendeleo ni kufikia uchumi wa kati wa $3000 mwaka 2025. MATAGA wanapotosha kuwa tumefikia lengo kabla ya muda wakati ni UONGO.
SureSimple and clear... huwezi kutengeneza development goal bila ku-set target! Uchumi hauendi hivyo!!! That being said, alichoongea Abbas is rubbish!!!