Dkt. Abbas: Dira ya maendeleo ya 2025 haina sehemu inayoonyesha pato la Nchi kuingia Uchumi wa Kati. WB ndio yenye vigezo vyake

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,780
141,667
Msemaji wa Serikali Dkt. Hassan Abbas ametolea ufafanuzi dhana ya uchumi wa kati kwa kusema katika Dira ya maendeleo ya 2025 hakuna sehemu inayoelezea pato la nchi kuingia uchumi wa kati.

Dkt. Abbas amesema Benki ya Dunia ndio huweka vigezo vya nchi kuingia katika ngazi hizo. Hivyo amewataka watanzania kuachana na propaganda zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

Dkt. Abbas ameyaweka hayo kwenye account yake ya twitter

Maendeleo hayana vyama!
 
Kuna mtu kakurupuka vibaya

JK alisema mzee Mkapa alikuwa na matamanio ya kufikia uchumi wa kati kwa per capita kuwa USD 3000 hata kama tunajua kwamba uchumi wa kati ungetuhitaji kuwa na per capital around 1080.

Yaani ni sawa sawa na mtu uwe na matamanio ya kufaulu chuo na First Class badala ya ule ufaulu wa kawaida wa wengi wa Lower second.

Itakuwa maneno ya Kikwete yamewachoma sana
 
Watu waovu hawajifichi

JK mtu muungwana kabisa

Jk amesema kwenye mpangilio
1. Kuingia uchumi wa kati by 2025
2. Pia katika safari, by 2025 basi walau kipato kifikie usd 3500

Huu ni mpango wa kimaendeleo Tanzania...(DIRA) By 2025.

Sasa huyu anayeleta world bank ametokea wapi? Iwapo JK aliongelea dira yetu watanzania?
 
Wote tunafahamu hivyo ila angetolea ufafanuzi kauli ya waziri wa fedha Dr mipango kuwa, serikali ya jiwe imefikia lengo la dira ya maendeleo limefikiwa kabla ya muda je alimanisha nini?
$1080 ... au hujaelewa alichosema Dr. Abbas?
 
So ile 20/25 ya mpango wa maendeleo ya taifa tumepangiwa na WB?

Serikali ingetafta msemaji mwingine mwenye akili ana mwenye exposure, huyu jamaa ni mweupe kichwani sijawahi kuona.

Hawa ndio wale wasomi wa vyeti wa serikalini, wanaosoma wapate vyeti ili kupeleka waongeweze mishahara au wapande vyeo.

Hii nimeitoa kwenye website ya serikali
Tovuti Kuu ya Serikali: Dira 2025

Vision 2025​

[TD valign="top"]
Preparation of the Tanzania Development Vision (TDV) 2025 started in 1994 and the Government finally launched the Vision in 1999. The gist of Vision 2025 is that, by 2025, Tanzania should have gone through an unprecedented economic transformation and development to achieve middle-income status; characterised by high levels of industrialisation, competitiveness, quality livelihood, rule of law and having in place an educated and pro-learning society. Specifically, the Tanzania Development Vision 2025 outlined the country's social, economic and political aspirations for the first quarter of the 21st century with an underlying drive to reaching the middle-income country (MIC) status, with a per capita income of USD 3,000 (in nominal terms) by 2025.

Vision 2025 was designed to be implemented through a series of five year development plans. However, at the time the Vision 2025 was adopted, Tanzania embarked on far-reaching policy and institutional reforms, under the auspice of Highly Indepted Poor Countries (HIPC) for it to qualify for the debt relief initiative. In view of this, and with the help of the development partners, short and medium term Poverty Reduction Strategies (PRS) were adopted as a safety net for the poor, which in the absence of Five Year Development Plans, became the framework to implement the Vision. First came the three year PRS (2000-2003), followed by the first five year National Strategy for Growth and Reduction of Poverty (NSGRP/MKUKUTA, 2005-2010). MKUKUTA, though designed as an implementation strategy with broader outcomes, it fell short in terms of prioritisation of development issues and laying out specific strategic interventions to realize the objectives of Vision 2025.​
[/TD]
 
Back
Top Bottom