Dk. Zainab sasa awa kisingizio, wanaume wengi wadai walizimia kwa huduma zake, ndio sababu ya wao kuchelewa nyumbani

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,983
20,634
Sasa hii imeonekana ndio sababu ya wanaume kuchelewa nyumbani

Kila Nyumba anatajwa DK zainab kwamba ndio chanzo na kwamba walizimia usiku kucha.

Jamani
 
Picha ya Dr ikwapi
Huyu hapa katibu mukulu wizarani
images.jpeg
 
Teh teh.....anamjua vizuri sana mtu fulani.....najua sasa nae atajulikana vizuri zaidi!!
 
Back
Top Bottom