britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Leo uongozi wa juu wa Barrick Mines Tanzania umepata fursa ya kukutana na Mheshimiwa rais Magufuli na kueleza yaliyo moyoni mwao,
moja ya mambo ambayo wameeleza ni kumshukuru Magufuli kwa msimamo wake usiotetemeshwa na mabeberu pia na nia yake ya dhati katika kuwaletea maendeleoa watanzania wa hali ya chini,
akaendelea kueleza kwamba hakutakuwa na mabadiriko yoyote katika makubaliano ya awali,
1.300 USD millions watazilipa
2.Mgawanyo wa asilimia 50 kwa 50 katika faida kama ilivyoelezwa hapo awali,
moja ya mambo ambayo wameeleza ni kumshukuru Magufuli kwa msimamo wake usiotetemeshwa na mabeberu pia na nia yake ya dhati katika kuwaletea maendeleoa watanzania wa hali ya chini,
akaendelea kueleza kwamba hakutakuwa na mabadiriko yoyote katika makubaliano ya awali,
1.300 USD millions watazilipa
2.Mgawanyo wa asilimia 50 kwa 50 katika faida kama ilivyoelezwa hapo awali,