Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,625
- 218,056
Sarakasi kama kawaida , " GOOD FAITH "
na mtaendelea kufeli kila siku kudadeki !CHADEMA soma hiyo.
Mkuu hebu tuambie umeandika nini hapa
Unaamini mashairi ya Msigwa? Wajinga tu ndo mtaendelea kudanganywa - juzi mliandika pia shairi kama hili kwamba kuna kampuni Kenya imeamua kununua korosho yote Mtwara na Lindi - mmeachwa na jambajamba msijue la kufanya dadeki...na wakati mwingine mlidai Benki ya Dunia imeamua kuachia mkopo wa dola mil.300, baada ya siku 2 WB wakawakanusha mkaachwa tena na jambajamba!Leo uongozi wa juu wa Barrick Mines Tanzania umepata fursa ya kukutana na Mheshimiwa rais Magufuli na kueleza yaliyo moyoni mwao,
moja ya mambo ambayo wameeleza ni kumshukuru Magufuli kwa msimamo wake usiotetemeshwa na mabeberu pia na nia yake ya dhati katika kuwaletea maendeleoa watanzania wa hali ya chini,
akaendelea kueleza kwamba hakutakuwa na mabadiriko yoyote katika makubaliano ya awali,
1.300 USD millions watazilipa
2.Mgawanyo wa asilimia 50 kwa 50 katika faida kama ilivyoelezwa hapo awali,
View attachment 1027332
Wewe kuangalia ngozi hakuna tofauti na ukaburu, acha ubaguzi wa rangi ni mbaya sanaHuyo ndo wa kumwambia Magufuli mimi ni mwafrica, sisi sote ni waafrika? View attachment 1027335View attachment 1027335
Hii ni habari njema, ila kwa mujibu wa taarifa hii, the settlement is inayozungumziwa hapa ni settlement ya yale makubaliano ya kile kishika uchumba cha US $ 300 milioni za goodwill, kuunda Kampuni mpya, na kugawana 50/50 economic benefits na sio profits kama tulivyo elezwa, ila bado sijasikia waki mention anything kuhusu the principal ile US $ 190 Billion dollars ya Noah zetu.
Kwa hiyo unataka kuniambia Lissu au wapinzani wakiongea na hao wanaonekana ni mawakala wa mabeberu ila viongozi wakiongea nao si mawakala wa mabeberu?Wewe kuangalia ngozi hakuna tofauti na ukaburu, acha ubaguzi wa rangi ni mbaya sana
Chukua kizuri acha kibaya, sio unachukua kibaya unaacha kizuriKwa hiyo unataka kuniambia Lissu au wapinzani wakiongea na hao wanaonekana ni mawakala wa mabeberu ila viongozi wakiongea nao si mawakala wa mabeberu?
Ndio barua ilivyoeleza mkuu? Na ulikuwepo ikulu?Acha uongo. Makubaliano hayo yanategea approve ya independent board of acacia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekumbuka kuwa hawa ni "wanaume" na si "mabeberu" (Kwa sauti ya JPM na britanicca).LoLmoja ya mambo ambayo wameeleza ni kumshukuru Magufuli kwa msimamo wake usiotetemeshwa na mabeberu pia na nia yake ya dhati katika kuwaletea maendeleoa watanzania wa hali ya chini,
Basi tu tukose hela ndio furaha yangu, maana zinatumika hovyo kabisa bila utaratibu