Wewe unajua hilo kabila lake yaani kuvaa ni hawajui kabisa.Hata usafi ndo kabisa sema huyu kwa sababu yupo mjini ndo anaiga watu wa mjini wanavyoishi samahani kwa kusema ukweli.
hahahah! honestly as much as i like Slaa dah hii nguo ni oversize, na nilicheka sana mpaka niliposoma comment ya Bujibuji ndo nikaona dah.. kumbe si mambo ya kucheka, im taking my laughter back!
Tatizo ni kwamba mlizingatia zaidi uvaaji mkasahau mambo ya msingi kama uwajibikaji nk. ndo maana mnajua kuvaa lakini mnakula na kutoa rushwa kama hamna akili nzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.