chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Nakubaliana na wewe kwamba ni kweli video inasema amepewa "assignment" nakubali pia intuition yako kwamba inaweza kua mipango yake binafsi na sio ya chama ama ikawa ni ya chama- kitu ambacho kama itathibitika kua hivyo nitakilaani kwa uwezo wangu wote, kwakua hakiendani na iliyo mikakati ya CHADEMA katika kupigania haki., lakini nadhani kabla hatuja fika huko bado iko haja ya kujiridhisha si tu kwamba video hii ni authentic au ya kweli haija undwa lakini pia kama yaliyokua yakizungumzwa kwenye video hiyo hata kama video hiyo ni halisi yalikua yakielekezwa katika utekaji wa Ng. Kibanda? kwakua kama nilivyo sema video hii bado iko vague sana., kwanza iko robo, halafu haitoi hasa mantic ya kurecodiwa kwake hata content yake haija kamilika., haitaji utekwaji wa kibanda wala jina lolote., labda niseme tu kazi hii tuiachie polisi, ambao wame kua trained kukabili mambo kama haya na kutafuta ukweli ulipo jificha, kama wataifanya kazi hiyo pasipo kuingiliwa na nguvu nyingine yoyote,.. inawezekana Lwakatare akwa na hatia., lakini ni mapema mno kuamua hivyo!
Katika nchi za wenzetu zenye uhuru na uwazi hii video ni aibu kubwa sana kwa chama cha cdm,hii video iko wazi sana Mkuu,Huyu jamaa inaonesha kamuamini sana huyu anaezungumza nae,cha kujiuiliza kwanini haya mazungumzo wameyarikodi,au karekodiwa bila ya kujua?
kama karekodiwa bila ya kujijua kwahiyo mbaya wake anamjua