Elections 2010 Dk. Slaa: Ndio tunaanza

silver25

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
743
44
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kutoa elimu kwa wapigakura kwa njia ya kutoboa siri zote za ufisadi zinazoigusa serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia wiki ijayo.

Chadema Jana waliendelea na Msimamo wao wa kuto kumtambua Ndugu Jakaya Mrisho kikwete kwa kutoka nje ya ukumbi wakat yeye anataka kuhutubia Bunge,,
Wabunge wote wa Cadema walikwenda nje huku wasaliti wa uchumi wa Tanzania wakipiga meza huku wakiwa hawajui wanashangilia nini,,

Mimi naona tuwaunge mkono tu ili movement hizi zifanikiwe jamani wametuonesha njia,, Kuhusu Katiba mambo yatakuwa Sawa kwasababu hadi wasomi chuo kikuu wameanza kuona kunauhitaji wa kubadili Katiba,,
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kutoa elimu kwa wapigakura kwa njia ya kutoboa siri zote za ufisadi zinazoigusa serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia wiki ijayo.
"Wananchi wana haki ya kujua serikali inafanya madudu gani; kwa nini imeshindwa kutawala na kwa nini wanapaswa kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura," ameeleza ofisa mmoja wa chama hicho.
Katika hatua hiyo ya kampeni za lala salama, viongozi wakuu wa CHADEMA wataandamana na mwasisi wa mageuzi nchini, Mabere Marando ambaye amepewa jukumu la kufafanua kwa kina, ukwapuaji wa mabilioni ya shilingi kutoka Hazina na Benki Kuu (BoT).

Source Mwanahalisi:thinking::thinking:

Kampeni gani za lala salama?sijakuelewa,mbona habari yako ipo nyuma ya wakati?
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kutoa elimu kwa wapigakura kwa njia ya kutoboa siri zote za ufisadi zinazoigusa serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia wiki ijayo.
"Wananchi wana haki ya kujua serikali inafanya madudu gani; kwa nini imeshindwa kutawala na kwa nini wanapaswa kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura," ameeleza ofisa mmoja wa chama hicho.
Katika hatua hiyo ya kampeni za lala salama, viongozi wakuu wa CHADEMA wataandamana na mwasisi wa mageuzi nchini, Mabere Marando ambaye amepewa jukumu la kufafanua kwa kina, ukwapuaji wa mabilioni ya shilingi kutoka Hazina na Benki Kuu (BoT).

Source Mwanahalisi:thinking::thinking:

Da!! au uchaguzi wa mameya??
 
Hahahahahahahahah Tunaanza nini Mapambano,, kwani Campaign zimeisha?
Kwa chadema ndio kwaaanza unaanza ndugu yangu, yaani bado mbichiiiiiii kaka wewe CCM umelala endelea hivyohivyo uwape mbu faidaaa
 
Nimefurahi na maelezo ya kwamba kuiondoa CCM kwa njia ya sanduku la kura. Hii ina maana ya AMANI BILA UMWAGAJI DAMU. Nataka kadi ya CHADEMA sasa hivi haya ndiyo na mimi nayoyataka.
 
kadi zinapatikana tuu kwa njia rahisi kabisa,, yaani huwezi kupata usumbufu wowote na ukitaka elimu utaipata bureeeee
 
Wananchi tumechoka mbaya. Chadema ndio tumaini letu. Fanyeni pia tathminh ya wagombea waliouza nafasi zao baada ya kushinda na kula rushwa toka ccm. Wafukuzwe chamani watu wawe na imani. Hapa arumeru magharibi hatuna imani kuwa chadema ilishindwa, fanyeni uchunguzi watu wanalalamika sana. Hii kampeni inayoanza tunaisubiri kwa hamu, matawi yafunguliwe.
 
Ijapokuwa uchaguzi umekwisha na CCM imerudi tena madarakani kwa kutwaa Urais na viti vingi vya wabunge zidi ya wapinzani wake, kwa maoni yangu ELIMU YA SIASA NA UZALENDO yapaswa kuwa ni agenda kuu ya vyama vyote vya upinzani. Wananchi waelimishwe katika kila maeneo ya uwozo wa siasa unaofanywa na chama tawala hapa nchini katika kipindi chote cha mwaka na haswa pale panapotokea wimbi la ufisaadi na si kusubiri tu wakati wa kampeni za uchaguzi kama ilivyofanywa na Chadema. Vyama vyote vya upinzani yawapaswa waungane katika swala zima la kuwaelimisha wananchi na waweke kando tofauti zao za kisiasa."Umoja ni Nguvu Utengano ni Uzaifu".
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kutoa elimu kwa wapigakura kwa njia ya kutoboa siri zote za ufisadi zinazoigusa serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia wiki ijayo.
"Wananchi wana haki ya kujua serikali inafanya madudu gani; kwa nini imeshindwa kutawala na kwa nini wanapaswa kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura," ameeleza ofisa mmoja wa chama hicho.
Katika hatua hiyo ya kampeni za lala salama, viongozi wakuu wa CHADEMA wataandamana na mwasisi wa mageuzi nchini, Mabere Marando ambaye amepewa jukumu la kufafanua kwa kina, ukwapuaji wa mabilioni ya shilingi kutoka Hazina na Benki Kuu (BoT).

Source Mwanahalisi:thinking::thinking:

Hilo sanduku la kura ni la uchaguzi mdogo?

Kuna kampeni gani?
 
Ijapokuwa uchaguzi umekwisha na CCM imerudi tena madarakani kwa kutwaa Urais na viti vingi vya wabunge zidi ya wapinzani wake, kwa maoni yangu ELIMU YA SIASA NA UZALENDO yapaswa kuwa ni agenda kuu ya vyama vyote vya upinzani. Wananchi waelimishwe katika kila maeneo ya uwozo wa siasa unaofanywa na chama tawala hapa nchini katika kipindi chote cha mwaka na haswa pale panapotokea wimbi la ufisaadi na si kusubiri tu wakati wa kampeni za uchaguzi kama ilivyofanywa na Chadema. Vyama vyote vya upinzani yawapaswa waungane katika swala zima la kuwaelimisha wananchi na waweke kando tofauti zao za kisiasa."Umoja ni Nguvu Utengano ni Uzaifu".

Laiti hayo yangekuwa yanakubalika na vyama vyote vya UPINZANI ingekuwa ni hatua kubwa zaidi lakini kuna vyama vingine ni jina tu la nje lakini ndani ni CCM.
 
We unajua maana ya news? habari wakati wa kampeni siyio news tena? news ni habari mpya ambayo mtu anaisikia kwa mara ya kwanza, habari kuwa wewe ulioa mwaka jana tu si habari bali aliyeoa leo asubuhi ndo news, Sawa.
 
hivi hawa wa usalama wa taifa mbona wanataka kuzuia mission zetu
 
Chadema mumefanya jambo jema kwa kuonesha hisia zenu za kweli na za watanzania Wote tulio watuma mkafanye kazi nzuri muliyo anza kuionesha toka majuzi wa Kuwapiga maswali wakati Wabunge wa CCM wakijiuma uma kwa kukipiga broken kimombo kwa kuomba uwakilishi wa SADC
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kutoa elimu kwa wapigakura kwa njia ya kutoboa siri zote za ufisadi zinazoigusa serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia wiki ijayo.

Chadema Jana waliendelea na Msimamo wao wa kuto kumtambua Ndugu Jakaya Mrisho kikwete kwa kutoka nje ya ukumbi wakat yeye anataka kuhutubia Bunge,,
Wabunge wote wa Cadema walikwenda nje huku wasaliti wa uchumi wa Tanzania wakipiga meza huku wakiwa hawajui wanashangilia nini,,

Mimi naona tuwaunge mkono tu ili movement hizi zifanikiwe jamani wametuonesha njia,, Kuhusu Katiba mambo yatakuwa Sawa kwasababu hadi wasomi chuo kikuu wameanza kuona kunauhitaji wa kubadili Katiba,,
Tuko pamoja na Rais wetu wa mioyoni Mh.Dr.W.Slaa usikate tamaa Mungu anakutumia kuikomboa nchi hii,Watanzania wenzangu tumuunge mkono.
 
Kwa utaratibu huu wa chadema najisikia kama nakunywa ka-heineken bariiiiiidi.
 
chips kuku na mishikaki italiwa tuu, na tutasahau tena kula chips kavu hii tutaipata Raisi akiwa Slaa 2015
 
Back
Top Bottom