Masheikh na maimam ni watu wenye fikra duni! Ni wapuuzi
Mimi naona kaka wewe ndo una fikra duni kwani hukutakiwa kumtukana mtu ila ujadili mambo kwa hoja. Mtu mwenye fikra kama zako kama amesoma basi hajaelimika
Kaka tenga muda wako sikiliza wayasemayo hao uliowatukana kisha ujadili kwa hoja hapo utaonesha usomi wako na busara zako mkuu, otherwise jiondoe kwenye list ya walioelimika.