Dk slaa kwa hili tusidangnyane (nyani haoni kundule)

kwa kusema hivyo unahalalisha madudu yote aliyoyafanya kikwete alipoingia madarakani kwani CCM nao walimtumia kikwete. napi unaniogopesha siku chadema watanzania wakijisahau na kukiachia kupata nafasi ya urais , DK SLAA si atavunja rekodi ya kulipwa ukilinganisha na marais wote duniani. na ukisema hivyo basi na MTEI ambaye ni muasis mumlipe kwa kigezo cha kuwa yeye ni muanzishaji wa chama.

Kama angeweza ku paisha uchumi wa nchi hakuna ambaye angelalamika hapa si semi kwa hisia naongea objectively! Haya malalamiko ni kuwa CCM investment return yake imekuwa less by 20% if votes are to be the out put. Na hii bado imetolewa na biased body ingekuwa free and fair body pengine ni less than that. Kwahiyo ndiyo maana yake and whatever is consuming kama hakiisaidii taifa ni cost kwenye economy. Siongelei hisia naongea facts!

Kwa issue ya Mtei ndiyo hasa aliye invest lakini kwenye capita investment na kama CHADEMA ita mtupa basi ujue watakuwa hawamtendei haki kama hawaja rudisha what he invested in maana yeye ni innovator kama ilivyo baba wa taifa kwa CCM! Lakini anachohitaji yeye si cash bali survival ya chadema if that is his satisfaction basi hiyo mbona ni investment iliyo lipa maana CHADEMA ina paa na ina uwezekano wa kuchukua dola na kama hiyo ndiyo ilikuwa objective yake basi ata realise return yake very soon.
 
Hivi hata hayo maandamano si yanatumia hela nyingi sana? gharama za mafuta + posho kwa wabunge na wajumbe wote wanaoshiriki (maana ni wengi) na wanatumia ruzuku toka serikalini ambayo ni jasho la walipa kodi hao hao.

Je CDM kwa kutumia mamilioni hayo yanawasaidia vipi wananchi maana naye anaendekeza porojo tu za kuwasema watu. sioni kama kuna kauli anayotoa ya kuwasaidia wananchi wanaomsikiliza wajikomboe na umasikini huu.

CDM tujenge hoja ya kuwasaidia wananchi wapate maendeleo tuache porojo za kuwasema watu. mara leo PINDA kafanya hiki mara Mangula mara Riziwan.

Tunachoka kusikia majina tu kila siku na hayatatusaidia kupiga hatua. kujadili watu ndiyo dalili za nchi masikini.

Mmmh tatizo lako hujui unachotetea....!?
 
Dk Slaa dhambi ya Ufisadi lazima ikutafune wewe na wenzako mnatafuna kodi zetu kwa mwezi milioni saba, kwa mwaka 84.000,000, posho ya maandamano kwa mwezi laki sita, kwa mwaka 7.200.000. nyumba kwa mwezi milioni 4, kwa mwaka 48,000,000, gari milioni 15, kwa mwaka Dk Slaa anakusanya milioni 154.200.000. angalia huu ufisadi wa Chadema ndugu zangu wanaitafuna nchi, wameshindwa hata kujenga ofisi nenda makao makuu ya Chadema utashangaa ofisi ipo uswahilini kinondoni ndani ndani ofisi ya makao makuu ina vyumba vinne aibu tupu, pesa yote inaishia kwenye maandamano na kugawana posho
 
Dk Slaa dhambi ya Ufisadi lazima ikutafune wewe na wenzako mnatafuna kodi zetu kwa mwezi milioni saba, kwa mwaka 84.000,000, posho ya maandamano kwa mwezi laki sita, kwa mwaka 7.200.000. nyumba kwa mwezi milioni 4, kwa mwaka 48,000,000, gari milioni 15, kwa mwaka Dk Slaa anakusanya milioni 154.200.000. angalia huu ufisadi wa Chadema ndugu zangu wanaitafuna nchi, wameshindwa hata kujenga ofisi nenda makao makuu ya Chadema utashangaa ofisi ipo uswahilini kinondoni ndani ndani ofisi ya makao makuu ina vyumba vinne aibu tupu, pesa yote inaishia kwenye maandamano na kugawana posho

Hafikii hata chembe ya ufisadi wa bilionea Riz One! hatudanganyiki. Dr Slaa PhD tunaomba maandamano nchi nzima....nchi inakoelekea ni kubaya.
 
Chadema tuna deal na sera ya nchi (national policy -not petty issues). Ndiyo maana Dr Slaa wakati anagombea hakuahidi bajaji, au kuwalipia watu madeni ya SACCOS, wala ujenzi wa vijibarabara vya hapa na pale aili apate kura.

Yeye alijadili sera ya kodi, mfumo wa elimu, sera za ujenzi kwa ujumla, ukubwa wa serikali, anahoja kazi wakuu wa wilaya na mikoa wakati kikwete ana deal na kazi za wenyeviti wa Halmashauri na manispaa via mabajaji.


Kwa hiyo, Slaa anataka sera ya malipo wabunge iendane na ukuaji wa uchumi wetu wala haitendi haki kwa wafanyakza wengine nchini. Dr Slaa na wenzake kususia mishahara yao ubunge kwa kuwa wanalalamika kuwa ni mikubwa siyo utatuzi, ni sawa na kumsusia mlevi pombe. Si ndo watafurahi?


Pili, itawapunguzia watanzania umaskini kwa asilimia ngapi?

Si, bora akachukua halafu akatumia kwenye maandamano kuwaelimisha watanzania kama anavyofanya sasa?

Right on, I like that, Slaa amesema hivyo au unamsemea? kama amesema hivyo , thats is real good , kama hajasema unamsemea then tell him to say and preach that.

I like your post!
 
Siku Dk Slaa akiwa Rais si ndio atajilipa mshahara kama wa Mobutu Sese Seko Nkuku wa za Banga, Dola Milioni 5, kwa mwezi
 
Right on, I like that, Slaa amesema hivyo au unamsemea? kama amesema hivyo , thats is real good , kama hajasema unamsemea then tell him to say and preach that.

I like your post!

Sasa mwenyekiti wa jimbo atasema ambacho hakijawa endorsed na katibu mkuu? Vipi Wabe mbona unaniangusha Engineer?
 
Hawa CDM ni wazushi, Mwenyewe Mbowe kama kiongozi wa upinzani mbona hajalikataa shangingi analolitumia la serikali?? Wakati huo huo hatujasikia pesa za ruzuku zimepelekwa matawini ili kuimarisha chama badala yake wanatumbua kupitia "MRADI WA MAANDAMANO ENDELEVU" tena maandamano yanafanyika kipindi cha kilimo. ACHENI KUDHOOFISHA KILIMO KWANZA!!!!!

Hivi ruzuku ya CCM, Milion 800 inafana kazi naomba unifafanulia hapa
 
Siku Dk Slaa akiwa Rais si ndio atajilipa mshahara kama wa Mobutu Sese Seko Nkuku wa za Banga, Dola Milioni 5, kwa mwezi

hilo avatar lako linakuonesha ni jinsi gani ulivyo mbumbu....
kujilipa mshara mkubwa sio ishu, ishu mishahara wanayolopwa wakurugenzi,wabunge,usalama wa taifa, TRA nk inaendana na hali halisi ya uchumi wa nchi???
 
kweli nyani haoni kundule

kajifunze aina ya mikataba na pia pitia vitu kama terms alaf kitu kama condition kwenye mikataba,alaf ukasome 'subject matter' ukimaliza uje tena nikufundishe zaidi kwamba dr Slaa si kwamba yeye ni kila kitu na anachosema inakuwa ghafula kinageuka sheria,dr kasema lazima ufisadi lazima uishe! Kwa iyo ccm kaa mkao wa tayari, safari hii. Sawa mkuu?
 
Dk Slaa dhambi ya Ufisadi lazima ikutafune wewe na wenzako mnatafuna kodi zetu kwa mwezi milioni saba, kwa mwaka 84.000,000, posho ya maandamano kwa mwezi laki sita, kwa mwaka 7.200.000. nyumba kwa mwezi milioni 4, kwa mwaka 48,000,000, gari milioni 15, kwa mwaka Dk Slaa anakusanya milioni 154.200.000. angalia huu ufisadi wa Chadema ndugu zangu wanaitafuna nchi, wameshindwa hata kujenga ofisi nenda makao makuu ya Chadema utashangaa ofisi ipo uswahilini kinondoni ndani ndani ofisi ya makao makuu ina vyumba vinne aibu tupu, pesa yote inaishia kwenye maandamano na kugawana posho

haiendi kwenye semina elekezi? Wee una matatizo!
 
Hafikii hata chembe ya ufisadi wa bilionea Riz One! hatudanganyiki. Dr Slaa PhD tunaomba maandamano nchi nzima....nchi inakoelekea ni kubaya.

Kwa hiyo kama Ridhwan kafanya ufisadi mkubwa, Dk Slaa anapata Excuse cha kufanya ufisadi wake mdogo?
 
mimi sio mbwa, nikiambiwaq shika nikashika, nikiambiwa kimbiza nikakimbiza na boss wangu. mimi ni mtu mwenye kufikiria na kuushirikisha vizuri ubongo wangu kabla ya kutenda na wala sifati mkumbo kama wewe na mimi ni mtu mwenye kupima nisiyeghilibiwa na wanasiasa kama wewe, but sikulaumu sana tatizo lako nimegundua kuwa mungu alikunyima uwezo wazo wa kuushirikisha ubongo wako na maamuzi, so hilo ni gonjwa sugu ambalo unalo ambalo ni hatari kuliko UKIMWI na nakushauri kutokana hakuna tiba hospitalini jaribu kwenda KWA BABU LOLIONDO.

Tayari we ni mbwa ndo maana unashika unapoambiwa kamata ...kaanze na pindua aliyetoa mfano wa kutotaka ku2mia VX ili hali amelipaki pembeni linamsubiri ....Dont u think ua a big DOG! halafu kuthibitisha wewe ndo hushirikishi akili yako ni kwamba kama ugonjwa nilionao hauna tiba niende kwa Babu Loliondo ...huoni kama ni TIBA? bado kweli huoni kundule wewe...
 
Hiyo mbona ni kawaida ya wanadamu, kuona wenzao tu ndo wanakosea, wao wako perfect. Tumuulize ye alivyokuwa mbunge amewahi wajengea nyumba wapiga kura wake? au ye hana nyumba kijijini kwake? alivyokuwa mbunge alikuwa hapokei 180, 000 ya siku? na huo mshahara anaopewa na chama tusemeje? that is why i dont like politics too many lies na unafiki tu.
 
hacha tabia ya kukurupuka kama panya na kabla ya kuleta hoja jamvin shauriana na mkeo alafu sio jibo ni jimbo
 
hilo avatar lako linakuonesha ni jinsi gani ulivyo mbumbu....
kujilipa mshara mkubwa sio ishu, ishu mishahara wanayolopwa wakurugenzi,wabunge,usalama wa taifa, TRA nk inaendana na hali halisi ya uchumi wa nchi???

Wewe naona unafata mkumbo tu ujui ulisemalo nakuona kama Harlequin tu. eti unasema mshahara mkubwa sio ishu, ishu nini mbege? kwani wabunge wa Chadema wanapokea mshahara tofauti na wabunge wa Cuf, Nccr Mageuzi, Tlp, Udp? acha kukurupuka wewe zinduka
 
Chadema tuna deal na sera ya nchi (national policy -not petty issues). Ndiyo maana Dr Slaa wakati anagombea hakuahidi bajaji, au kuwalipia watu madeni ya SACCOS, wala ujenzi wa vijibarabara vya hapa na pale aili apate kura.

Yeye alijadili sera ya kodi, mfumo wa elimu, sera za ujenzi kwa ujumla, ukubwa wa serikali, anahoja kazi wakuu wa wilaya na mikoa wakati kikwete ana deal na kazi za wenyeviti wa Halmashauri na manispaa via mabajaji.


Kwa hiyo, Slaa anataka sera ya malipo wabunge iendane na ukuaji wa uchumi wetu wala haitendi haki kwa wafanyakza wengine nchini. Dr Slaa na wenzake kususia mishahara yao ubunge kwa kuwa wanalalamika kuwa ni mikubwa siyo utatuzi, ni sawa na kumsusia mlevi pombe. Si ndo watafurahi?


Pili, itawapunguzia watanzania umaskini kwa asilimia ngapi?

Si, bora akachukua halafu akatumia kwenye maandamano kuwaelimisha watanzania kama anavyofanya sasa?

Good response to the crazy nude who postedthe agenda.
 
Wakuu zangu, mnapokuja hapa kuzungumzia Dr.Slaa basi muwe na points za maana kwa sababu hii inaonyesha ufinyu wenu ktk kufikiria. Mnashindwa kabisa ku make a case against Dr.Slaa ila kuokoteza okoteza habari jamani?..

Sasa mlitaka Dr.Slaa kama katibu wa Chadema asichukue hata mshahara na posho au kuna kiwango ambacho mnakiona ndicho halali kwake. Hivi mlitegemea kwamba Chadema wanaweza kuandaa maandamano pasipo kutumia fedha hata kama iwe kwa faida yenu wenyewe..Mbona wepesi sana kuadhimisha sikukuu za serikali ambazo zinatumia mabillioni ya fedha kwa kitu ambacho hakina faida kabisa kwenu. Je, mmewahi kujiuliza hizi sherehe za kuzaliwa CCM, mwenge na kadhalika zina faida gani kwenu..

Cha kushangaza ni kwamba mlikuwa hamjui Waziri mkuu Pinda analipwa kiasi gani na sii kiwango kilichokubaliwa na kikao chochote cha kitaifa.. Ni huyu huyu Dr.Slaa aliyelalamikia mishahara ya Wabunge akiwa bungeni na kuitaka serikali ipunguze lakini akapigwa chini kwa sababu Chadema hawana wajumbe wa kutosha kupitisha sheria..

halafu basi kwa ujinga tulokuwa nao tunawataka Chadema wasichukue mishahara hiyo kuonyesha mfano, lakini pia tunawapinga Chadema kila wanapopinga lolote linaloamriwa na serikali hata kama ni haki yao. Sasa mnataka viongozi wa CDM wafanye kipi haswa...Waipinge serikali kwa vitendo hata ikibidi kuhatarisha amani na usalama wenu au waendelee kuwaelimisha wananchi kwa njia hizi?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom