muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
Niijuavyo gov ya ccm, neno mchochezi kwao ni simple kulitamka na kumkabidhi mtu ambae yupo kinyume na wao.
kwa mfano maalim seif baada ya kutoka ccm alipata misuko suko na hatimae kuishia jela kwa kosa la Uchochezi. Licha ya watu wengi kuona ni mambo ya kisiasa tu na sio uchochezi kama ccm ilivyoamini lkn leo ni hii anakula KEKI YA TAIFA
na sasa dk slaa ameongoza maandamo Arusha. lkn kwa kuwa dk slaa ni mtu shupavu na mwiba kwa utwala wa CCM tangu ajiunge na Chadema, na hivi majuzi tu ameongoza maandamano ya Arusha. jee dk slaa ni mchochezi kwa kuwandaa wananchi kuipinga gov halalli na kusababisha mauji?JEE Tutgemee msamiati wa ccm utamkumba dk slaa na kuwekwa ndani kwa kosa la Uchochezi?
kwa mfano maalim seif baada ya kutoka ccm alipata misuko suko na hatimae kuishia jela kwa kosa la Uchochezi. Licha ya watu wengi kuona ni mambo ya kisiasa tu na sio uchochezi kama ccm ilivyoamini lkn leo ni hii anakula KEKI YA TAIFA
na sasa dk slaa ameongoza maandamo Arusha. lkn kwa kuwa dk slaa ni mtu shupavu na mwiba kwa utwala wa CCM tangu ajiunge na Chadema, na hivi majuzi tu ameongoza maandamano ya Arusha. jee dk slaa ni mchochezi kwa kuwandaa wananchi kuipinga gov halalli na kusababisha mauji?JEE Tutgemee msamiati wa ccm utamkumba dk slaa na kuwekwa ndani kwa kosa la Uchochezi?