Dk Slaa kama alivyokuwa Maalim Seif ni mchochezi?

muhogomchungu

JF-Expert Member
Jan 9, 2011
375
3
Niijuavyo gov ya ccm, neno mchochezi kwao ni simple kulitamka na kumkabidhi mtu ambae yupo kinyume na wao.
kwa mfano maalim seif baada ya kutoka ccm alipata misuko suko na hatimae kuishia jela kwa kosa la Uchochezi. Licha ya watu wengi kuona ni mambo ya kisiasa tu na sio uchochezi kama ccm ilivyoamini lkn leo ni hii anakula KEKI YA TAIFA
na sasa dk slaa ameongoza maandamo Arusha. lkn kwa kuwa dk slaa ni mtu shupavu na mwiba kwa utwala wa CCM tangu ajiunge na Chadema, na hivi majuzi tu ameongoza maandamano ya Arusha. jee dk slaa ni mchochezi kwa kuwandaa wananchi kuipinga gov halalli na kusababisha mauji?JEE Tutgemee msamiati wa ccm utamkumba dk slaa na kuwekwa ndani kwa kosa la Uchochezi?
 
Niijuavyo gov ya ccm, neno mchochezi kwao ni simple kulitamka na kumkabidhi mtu ambae yupo kinyume na wao.
kwa mfano maalim seif baada ya kutoka ccm alipata misuko suko na hatimae kuishia jela kwa kosa la Uchochezi. Licha ya watu wengi kuona ni mambo ya kisiasa tu na sio uchochezi kama ccm ilivyoamini lkn leo ni hii anakula KEKI YA TAIFA
na sasa dk slaa ameongoza maandamo Arusha. lkn kwa kuwa dk slaa ni mtu shupavu na mwiba kwa utwala wa CCM tangu ajiunge na Chadema, na hivi majuzi tu ameongoza maandamano ya Arusha. jee dk slaa ni mchochezi kwa kuwandaa wananchi kuipinga gov halalli na kusababisha mauji?JEE Tutgemee msamiati wa ccm utamkumba dk slaa na kuwekwa ndani kwa kosa la Uchochezi?

Crap eti gov halali, niliishakwambia ushabiki maandazi wako na post zako unazoamka nazo asubuhi zisizo na mashiko haufiki popote, halafu hapo kwenye bluu endelea kuota ndoto za abunuwasi
 
Niijuavyo gov ya ccm, neno mchochezi kwao ni simple kulitamka na kumkabidhi mtu ambae yupo kinyume na wao.
kwa mfano maalim seif baada ya kutoka ccm alipata misuko suko na hatimae kuishia jela kwa kosa la Uchochezi. Licha ya watu wengi kuona ni mambo ya kisiasa tu na sio uchochezi kama ccm ilivyoamini lkn leo ni hii anakula KEKI YA TAIFA
na sasa dk slaa ameongoza maandamo Arusha. lkn kwa kuwa dk slaa ni mtu shupavu na mwiba kwa utwala wa CCM tangu ajiunge na Chadema, na hivi majuzi tu ameongoza maandamano ya Arusha. jee dk slaa ni mchochezi kwa kuwandaa wananchi kuipinga gov halalli na kusababisha mauji?JEE Tutgemee msamiati wa ccm utamkumba dk slaa na kuwekwa ndani kwa kosa la Uchochezi?

Haya Mtoto wa JK Kaingia Humu. Unasemaje Tena? Huna Hoja au? Unataka Kupata Thread Ukawaadisie Ndugu?
 
Haya Mtoto wa JK Kaingia Humu. Unasemaje Tena? Huna Hoja au? Unataka Kupata Thread Ukawaadisie Ndugu?


hajui nguvu ya uma, wakitaka nch ilipuke wazubuthu kuwaweka wapambanaji ndani watajua nn maana ya nguvu ya uma,
 
Mkuu,
Post yako ina ladha ya muhogo mchungu!
kwa vile wewe ni mkulima unajua ladha ya muhogomchungu.
Ushauri lima mihogo mitamu!
 
Sioni hata maana ya hii post kwani kila kitu kiko wazi na kinajulikana
 
Back
Top Bottom