ndo maana mnayachoma?Inaoenekana watanganyika mnapenda sana makanisa kuliko hata ofisi za umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo maana mnayachoma?Inaoenekana watanganyika mnapenda sana makanisa kuliko hata ofisi za umma
hahahhaa. hata wewe msomi? ukibadilishiwa sentence unafeli? hapa ndipo napoona udhaifu wa NECTA
Jee anaweza kuwa kama Maalim Seif Shariif- alieratibu Mfumo wa Vyama vingi hadi kufikia hapa Tulipo? Kwani wakati watz wanataka mfumo wa Vyama vingi. asilimia 80 ni Zanzibar ambapo harakati za MAALIM seif zilianza hadi kufikia hapa
2)Anaweza kustahamili vishindo kama MANDELA wakati wa Utawala wa Makaburu?
3)Desmon Tutu?
4)Raila Odinga na Utawala mbaya wa Daniel Arap moi?
Lipi hasa ukiondoa Mkutano wa Mwembe Yanga ulimfanya DK Slaa kuwa mpambanaji madhubuti wakati majeshi pinzani watakapotumia Silaha Nztio kama za Makaburu Afrika ya Kusini na ya Maalim Seif huko Zanzibar ?
Mamluki utawajua tu, siku moja na nusu, post zapata 100, almost zote za kidini.
Wewe ni yupi hapa?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Slaa is powerfull siyo kweli..hakuna
Jee anaweza kuwa kama Maalim Seif Shariif- alieratibu Mfumo wa Vyama vingi hadi kufikia hapa Tulipo? Kwani wakati watz wanataka mfumo wa Vyama vingi. asilimia 80 ni Zanzibar ambapo harakati za MAALIM seif zilianza hadi kufikia hapa
2)Anaweza kustahamili vishindo kama MANDELA wakati wa Utawala wa Makaburu?
3)Desmon Tutu?
4)Raila Odinga na Utawala mbaya wa Daniel Arap moi?
Lipi hasa ukiondoa Mkutano wa Mwembe Yanga ulimfanya DK Slaa kuwa mpambanaji madhubuti wakati majeshi pinzani watakapotumia Silaha Nztio kama za Makaburu Afrika ya Kusini na ya Maalim Seif huko Zanzibar ?
atakuwa ni yule dogo mwenye kitshirt chekundu, bukta nyeupe ya mtumba.