Dk Slaa hajakomaa kisiasa

Ni mtazamo wako, sidhani kama kuna haja ya kukubishia. Ila unapopost thread ni vema ukaepuka kuwa na lugha inayokoroga kiasi cha kupoteza maana uliyokusudia.
 
Jee anaweza kuwa kama Maalim Seif Shariif- alieratibu Mfumo wa Vyama vingi hadi kufikia hapa Tulipo? Kwani wakati watz wanataka mfumo wa Vyama vingi. asilimia 80 ni Zanzibar ambapo harakati za MAALIM seif zilianza hadi kufikia hapa

2)Anaweza kustahamili vishindo kama MANDELA wakati wa Utawala wa Makaburu?
3)Desmon Tutu?
4)Raila Odinga na Utawala mbaya wa Daniel Arap moi?

Lipi hasa ukiondoa Mkutano wa Mwembe Yanga ulimfanya DK Slaa kuwa mpambanaji madhubuti wakati majeshi pinzani watakapotumia Silaha Nztio kama za Makaburu Afrika ya Kusini na ya Maalim Seif huko Zanzibar ?

Mlanguzi vipi? Unanikumbusha somo la history. Yaani we ni mkali unatumia JF kuandaa somo kwa form four ila unaonekana mwalimu mzuri
 
Mamluki utawajua tu, siku moja na nusu, post zapata 100, almost zote za kidini.

hahaa hebu soma vizuri thread yako maana umeongea na kuandika pumba tupu mara MANDELE, DOSMON TUTU, Vipi yakhe mbona unakurupuka ty? kua makini hapa sio Mzalendo.net
 
5dba1673-1d22-3431.jpg


Wewe ni yupi hapa?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

atakuwa ni yule dogo mwenye kitshirt chekundu, bukta nyeupe ya mtumba.
 
Naamini huna ufahumu mzuri juu ya hoja zako, ni dalili za ufahamu hafifu kumlinganish maalimu na dk slaa, kwani muelekeo mbaya wa chama cha maalim ni matokeo mabaya ya maamuzi yake ya kufunga ndoa na chama cha kijani, je huu ni ukomavu? Vilevile siasa kipindi cha mandela ni tofauti na siasa za leo kwani hizi ni nyakati mbili tofauti, zile zilikuwa ni nyakati za utawala wa kikolono na huu ni utawala wa ccm, hivyo kila mmoja ni shujaa kulingana kipindi chake. Je wewe hili hulijui au ndo uvivu wa kufikiri?
 
​du aliyekomaa ni mr dhaifu mtu ya bagamoyo? kanywe chai kwanza
Jee anaweza kuwa kama Maalim Seif Shariif- alieratibu Mfumo wa Vyama vingi hadi kufikia hapa Tulipo? Kwani wakati watz wanataka mfumo wa Vyama vingi. asilimia 80 ni Zanzibar ambapo harakati za MAALIM seif zilianza hadi kufikia hapa

2)Anaweza kustahamili vishindo kama MANDELA wakati wa Utawala wa Makaburu?
3)Desmon Tutu?
4)Raila Odinga na Utawala mbaya wa Daniel Arap moi?

Lipi hasa ukiondoa Mkutano wa Mwembe Yanga ulimfanya DK Slaa kuwa mpambanaji madhubuti wakati majeshi pinzani watakapotumia Silaha Nztio kama za Makaburu Afrika ya Kusini na ya Maalim Seif huko Zanzibar ?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom