MEA-MTWARO
Senior Member
- May 15, 2013
- 128
- 40
tarehe mosi juni,2013, dk slaa alihutubia umma mjini morogoro. Aliongea mengi sana ambapo alitumia ada ya kalamu yake kuungopea umma mjini hapo. Slaa alisikika akisema kuwa "siwezi kumzungumzia kinana kwani siyo size yangu
.nilicheka sana huku nikijiuliza kuwa, slaa ana cv na uwezo gani kumshinda kinana?. Zaidi ya slaa kuwa padri na katibu wa baraza la maaskofu, mbunge na sasa ni kattibu wa chadema saccos nini kingine?"
.
.nilicheka sana huku nikijiuliza kuwa, slaa ana cv na uwezo gani kumshinda kinana?. Zaidi ya slaa kuwa padri na katibu wa baraza la maaskofu, mbunge na sasa ni kattibu wa chadema saccos nini kingine?"
.