Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
wajameni
haya ni mambo ya kisiasa...hakuna kitu kama hicho yaani mtu utafute kura kwa mbinde halafu uende bungeni upate hela kiduchu...bado hata hili mnadanganywa???am sure at any given time 90% ya wanaotaka ubunge ni njaa tu......hakuna cha wapinzani wala watawala........hii yote ni kwa sababu ya mazingira tuliyomo....nina kauzoefu na maisha ya kila siku ya kawaida ya mbunge..lazima awe na ka uwezo flani ili aeleweke kwenye jamii inayomzunguka au iliyompigia debe na kumchagua...automatically unabadilika hata kama unania nzuri kabla.........kaaazi kwelikweli
haya ni mambo ya kisiasa...hakuna kitu kama hicho yaani mtu utafute kura kwa mbinde halafu uende bungeni upate hela kiduchu...bado hata hili mnadanganywa???am sure at any given time 90% ya wanaotaka ubunge ni njaa tu......hakuna cha wapinzani wala watawala........hii yote ni kwa sababu ya mazingira tuliyomo....nina kauzoefu na maisha ya kila siku ya kawaida ya mbunge..lazima awe na ka uwezo flani ili aeleweke kwenye jamii inayomzunguka au iliyompigia debe na kumchagua...automatically unabadilika hata kama unania nzuri kabla.........kaaazi kwelikweli