Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Utamu wa Siasa unigile
inasemekana serikali hii ya kikwete imejaa wafanyakazi hewa ajabu! yaani wafanyakazi hewa ni dili kwa wakubwa. kila kibosile anamajina yake(hewa) kama 10, 20,...mpaka 50 hivi. vichwa vyote hivi vinalipwa mishahara, na pesa husika inaingia kwenye akaunti ya kibosile.
Ukisikia kuzeeka vibaya ndiko huku, nchi haitawaliki wakati serikali inaendelea na kazi zake kama kawaida, kwa njia ya kufanya maandamano tu km cdm wafanyavyo huwezi sema nchi haitawaliki kwa hakuna mgomo sehemu yoyote ambao utaathiri uchumi wa nchi
nasubiri kwa hamu sana jibu la serikali na ccm kuhusu huo waraka
Lakini kauli aliyotoa ni nzito mkuu, na hii mi naisikia kwake kwa mara ya tatu sasa. Wassira aliahidi kuwa akirudia tena anampeleka jela. Sasa mbona anairudiarudia lakini Wassira na Serikali kwa ujumla hakuna hatua zozote wanazochukua? Au wanamwogopa Slaa na cdm?
Nikajua ni kweli kanasa document ya maana ya kuibia Nchi kumbe porojo tu,sasa anataka CCM wasiwe na mkakati wao? Hopeless Dr wit Phd
hawana mabavu yakujibu ukweli, sikuzote ukweli unaibuka kuwa ushindi ccm imekosa makamanda wa kuokoa jahazi hilo linalo zama badala yake sasa imepeta w.a.s.e.n.g.e wakulizamisha jahazi hilo
CCM wenyewe wenyewe walishajua chama chao kimeshakufa, sasa hizo semina elekezi za nini? watu wanafikia level kama hiyo hawajui wajibu wao kuwatumikia wananchi? inasikitisha sana.
Haya yote anayosema DR. ni ya ukweli ila wao watawaambia wananchi eti mzushi wakifikiri wananchi ni wale wa enzi zile za "Zidumu fikra sahi hi za mwenyekiti", time will tell lakini CCM is no more guys.
inasemekana serikali hii ya kikwete imejaa wafanyakazi hewa ajabu! yaani wafanyakazi hewa ni dili kwa wakubwa. kila kibosile anamajina yake(hewa) kama 10, 20,...mpaka 50 hivi. vichwa vyote hivi vinalipwa mishahara, na pesa husika inaingia kwenye akaunti ya kibosile.