Dk slaa amechakachua barua

Makame

JF-Expert Member
Jan 3, 2008
512
60
Wadau

Kwa kuzingatia maelezo yaliyotolewa na Dk Slaa, NEC, TISS, CCM na wahusika wengine katika Uchaguzi, imebainika kuwa Dkt Wilbroad Slaa Amechakachua Barua.

Inasemekana kufuatia uchakachuaji wa Dkt WPS wa barua hio, mgombea huyo akaendelea na uchakachuaji wake EU.

Mtu yoyote mwenye ufahamu, wala hahitaji kuwa na PhD ataweza kutambua bayana kuwa hii Barua ni uchakachuaji wa Mhe Dkt WPS katika jitihada zake za kuipaka serikali na watumishi wake matope. Barua husika nime i attach.

Nawasilisha.
 

Attachments

  • Uchakachuaji[1].pdf
    217.6 KB · Views: 483
Wadau

Kwa kuzingatia maelezo yaliyotolewa na Dk Slaa, NEC, TISS, CCM na wahusika wengine katika Uchaguzi, imebainika kuwa Dkt Wilbroad Slaa Amechakachua Barua.

Inasemekana kufuatia uchakachuaji wa Dkt WPS wa barua hio, mgombea huyo akaendelea na uchakachuaji wake EU.

Mtu yoyote mwenye ufahamu, wala hahitaji kuwa na PhD ataweza kutambua bayana kuwa hii Barua ni uchakachuaji wa Mhe Dkt WPS katika jitihada zake za kuipaka serikali na watumishi wake matope. Barua husika nime i attach.

Nawasilisha.

Umejuaje imechakatuliwa?
 
Wadau

Kwa kuzingatia maelezo yaliyotolewa na Dk Slaa, NEC, TISS, CCM na wahusika wengine katika Uchaguzi, imebainika kuwa Dkt Wilbroad Slaa Amechakachua Barua.

Inasemekana kufuatia uchakachuaji wa Dkt WPS wa barua hio, mgombea huyo akaendelea na uchakachuaji wake EU.

Mtu yoyote mwenye ufahamu, wala hahitaji kuwa na PhD ataweza kutambua bayana kuwa hii Barua ni uchakachuaji wa Mhe Dkt WPS katika jitihada zake za kuipaka serikali na watumishi wake matope. Barua husika nime i attach.

Nawasilisha.

Ukweli utabaki pale pale
 
we makame barua hii tulikuwa nayo humu kabla ya Dr. kuipeleka hewani jana. Sema wewe ndio umeiona leo, angalia slides zilizopita.
 
Wadau

Kwa kuzingatia maelezo yaliyotolewa na Dk Slaa, NEC, TISS, CCM na wahusika wengine katika Uchaguzi, imebainika kuwa Dkt Wilbroad Slaa Amechakachua Barua.

Inasemekana kufuatia uchakachuaji wa Dkt WPS wa barua hio, mgombea huyo akaendelea na uchakachuaji wake EU.

Mtu yoyote mwenye ufahamu, wala hahitaji kuwa na PhD ataweza kutambua bayana kuwa hii Barua ni uchakachuaji wa Mhe Dkt WPS katika jitihada zake za kuipaka serikali na watumishi wake matope. Barua husika nime i attach.

Nawasilisha.

Hivi wewe ulikuwa wapi wakati tunajadili hizo barua za Mwanza humu ndani kabla hata ya kuanza upigaji kura?? --->na kilichofuata wakati wa kuhesabu kura ni kile kile kilichoandikwa ndani ya hizo barua (maagizo ya uchakachuaji). Nikipata mda nitakutafutia ile thread yenye hizo barua husika ili uone...

Kwa kifupi JF tayari ilifanikiwa kuzinasa hizo barua mapema na anachoongea Dr.(Phd) Slaa sio kipya ni ukweli ulio wazi.
 
Wadau

Kwa kuzingatia maelezo yaliyotolewa na Dk Slaa, NEC, TISS, CCM na wahusika wengine katika Uchaguzi, imebainika kuwa Dkt Wilbroad Slaa Amechakachua Barua.

Inasemekana kufuatia uchakachuaji wa Dkt WPS wa barua hio, mgombea huyo akaendelea na uchakachuaji wake EU.

Mtu yoyote mwenye ufahamu, wala hahitaji kuwa na PhD ataweza kutambua bayana kuwa hii Barua ni uchakachuaji wa Mhe Dkt WPS katika jitihada zake za kuipaka serikali na watumishi wake matope. Barua husika nime i attach.

Nawasilisha.

Umejuaje amechakachua? Kwa hiyo wewe upo halmashauri ya Jiji la Mwanza?
 
we makame barua hii tulikuwa nayo humu kabla ya Dr. kuipeleka hewani jana. Sema wewe ndio umeiona leo, angalia slides zilizopita.

Kuna kila mianya ya kuamini kuwa barua hiyo imechakachuliwa...hauna mtiririko wa kimantiki wala kubeba uzito wa unyeti wa yaliyomo, na aliyeiandika ni layman ambaye hajui barua nyeti ya kiofisi inaandikwaje. Cha zaidi haina kumbukumbu namba. Kuchamba kwingi....!!!
 
we makame barua hii tulikuwa nayo humu kabla ya Dr. kuipeleka hewani jana. Sema wewe ndio umeiona leo, angalia slides zilizopita.

Jafar, huyu makame anahitaji msaada wa kueleweshwa kwamba asiingie jamvini kichwa kichwa, kakurupuka huko na mada iliyokuwa huku siku nyingi. Kama ni maoni yangu anapaswa kuwa.........:tape:
 
Kuna kila mianya ya kuamini kuwa barua hiyo imechakachuliwa...hauna mtiririko wa kimantiki wala kubeba uzito wa unyeti wa yaliyomo, na aliyeiandika ni layman ambaye hajui barua nyeti ya kiofisi inaandikwaje. Cha zaidi haina kumbukumbu namba. Kuchamba kwingi....!!!
hahahaaa! umeinama au umesimama? coz, zote hizo ni positions za CCM kukuchakachua
 
La MSINGI ni kwamba hii ndio Barua aliyoiwasilisha Dkt WPS kwa vyombo vya habari juzi akiituhumu TISS kwa uchakachuaji na kwamba NEC isiendelee kutangaza matokeo.

Sasa

1. JK anaapishwa Karimjee hivi sasa

2. Presidential contestants wote wapo, kasoro Dkt WPS. Hii ni dhahiri kuwa Dkt WPS (PhD) hana moyo wa ushindani; kwani asiyekubali kushindwa, sio mshindani.

3. Barua yoyote ya kiserikali ya SIRI lazima ipigwe mihuri ya SIRI na pia iwe na KUMB namba, vielelezo visivyokuwemo kwenye barua hii.

4. Serikali huwa haijihusishi na kuchakachua matokeo, na ni hatari sana kwa afisa wa Serikali kuandika barua yenye maudhui husika; hivyo kimantiki haiwezekani.

5. Mwisho kabisa, Serikali huwa haiandiki barua kwa LUGHA ya kichovu kama iliyomo kwenye barua hio.

Wadau

Nawasilisha.


Aidha; Ndugu Lema, nakupongeza kwa ushindi mnono ulioupata dhidi ya mwanamama kule Arusha; HONGERA SANA.

KWA SASA PIA TUSAHAU YA UCHAGUZI NA TUMPONGEZE JK kwa kupata kura za kuendeleza kumaliza ngwe yake Ikulu.
 
Gwallo

Mimi ni Mkongwe humu kwenye Jamvi, nimeamua kuvunja ukimya; wewe huna hata mwezi; Sasa kama kuna msaada wa kunielewesha; naukaribisha; nitaupokea.

Jafar, huyu makame anahitaji msaada wa kueleweshwa kwamba asiingie jamvini kichwa kichwa, kakurupuka huko na mada iliyokuwa huku siku nyingi. Kama ni maoni yangu anapaswa kuwa.........:tape:
 
La MSINGI ni kwamba hii ndio Barua aliyoiwasilisha Dkt WPS kwa vyombo vya habari juzi akiituhumu TISS kwa uchakachuaji na kwamba NEC isiendelee kutangaza matokeo.

Sasa

1. JK anaapishwa Karimjee hivi sasa

2. Presidential contestants wote wapo, kasoro Dkt WPS. Hii ni dhahiri kuwa Dkt WPS (PhD) hana moyo wa ushindani; kwani asiyekubali kushindwa, sio mshindani.

3. Barua yoyote ya kiserikali ya SIRI lazima ipigwe mihuri ya SIRI na pia iwe na KUMB namba, vielelezo visivyokuwemo kwenye barua hii.

4. Serikali huwa haijihusishi na kuchakachua matokeo, na ni hatari sana kwa afisa wa Serikali kuandika barua yenye maudhui husika; hivyo kimantiki haiwezekani.

5. Mwisho kabisa, Serikali huwa haiandiki barua kwa LUGHA ya kichovu kama iliyomo kwenye barua hio.

Wadau

Nawasilisha.


Aidha; Ndugu Lema, nakupongeza kwa ushindi mnono ulioupata dhidi ya mwanamama kule Arusha; HONGERA SANA.

KWA SASA PIA TUSAHAU YA UCHAGUZI NA TUMPONGEZE JK kwa kupata kura za kuendeleza kumaliza ngwe yake Ikulu.


  1. Serikali haichakachui matokeo, wanaochakachua ni watu ndani ya Serikali
  2. Usitarajie barua nyeti kama hiyo iwe na Reference number, kwa sababu maelekezo yaliyomo si moja ya kazi za Serikali. Na kama ingekwepo maana yake ni kuwa watu wangeweza kufatilia nakala ya barua hiyo kwenye masijara za Halmashauri ya Jiji la Mwanza, kitu ambacho ni hatari kwa aliyeandika
  3. Kwa kuwa uchaguzi ni Suala la muda mfupi, wangeweza kufungua faili feki alafu wakakaa nalo nyumbani, ambapo reference ya barua ikawa ni hiyo tarehe inatosha
  4. Nembo ya Jiji la Mwanza ilikuwa ni muhimu kuitumia, ili kuweza kushinikiza utekelezaji wa maagizo tajwa, kwani mtendaji ambaye angekuwa na mashaka, angefuatilia kwa kupiga simu tu, na si kwa kuandika barua ingine, ukizingatia siku zilikuwa zimeisha.
  5. Mwisho ni vigumu sana kudhibitisha kuwa hii barua ilikuwa ni maagizo halali ya Serikali. Labda kama Chadema mkoa wa Mwanza wangeweka mtego wa kudhibitisha utekelezaji wake kabla ya kuandika barua ya Malalamiko
 
Wadau

Kwa kuzingatia maelezo yaliyotolewa na Dk Slaa, NEC, TISS, CCM na wahusika wengine katika Uchaguzi, imebainika kuwa Dkt Wilbroad Slaa Amechakachua Barua.

Inasemekana kufuatia uchakachuaji wa Dkt WPS wa barua hio, mgombea huyo akaendelea na uchakachuaji wake EU.

Mtu yoyote mwenye ufahamu, wala hahitaji kuwa na PhD ataweza kutambua bayana kuwa hii Barua ni uchakachuaji wa Mhe Dkt WPS katika jitihada zake za kuipaka serikali na watumishi wake matope. Barua husika nime i attach.

Nawasilisha.

CRAP. Vipi na sahihi amechakachua?
 
Slaa hakuchakachua ila alipewa hiyo barua na vijana wa mjini wanaokula ruzuku ya CHADEMA kwa kujiita usalama wa taifa
 
wewe una uhakika gani kama amechakachua!au unaongerea ushabiki tu wa chama cha mapinduzi!tupe taarifa zaidi kama una uhakika amechakachua!!
 
Kuna kila mianya ya kuamini kuwa barua hiyo imechakachuliwa...hauna mtiririko wa kimantiki wala kubeba uzito wa unyeti wa yaliyomo, na aliyeiandika ni layman ambaye hajui barua nyeti ya kiofisi inaandikwaje. Cha zaidi haina kumbukumbu namba. Kuchamba kwingi....!!!

Hiyo haikuwa barua ya kiofisi, ni andiko liliandaliwa kihuni ili kubariki maovu ya sisiem, ykweli uko palepale, mmechakachua matokeo, full stop!
 
1.Je unatarajia barua ya kifisadi itakuwa na mtiririko wa "barua nyeti za serekali"?
2.Barua kama hiyo ya kifisadi haiwekwi kwenye faili kwa hiyo haihitaji kuwa na Kumbukumbu namba.
3.Tuambie hiyo sahihi ni ya nani na kama unafikiri imeghushiwa tuthibitishie.
4.Kwa taarifa yako ni kwamba barua hiyo haijatokana na UWT. Imekamatwa na kusambazwa na raia wema,ilikuwemo humu JF tangu wakati wa kampeni.
5.Mbona RA, LOWASA,RIDHIWANI na KINANA(kny KIKWETE) wote wanajaribu kuonyesha kwamba hawakuwepo kwenye kikao hicho badala ya kusema kama barua hiyo ni fake?.
6. Kwanini Kinana anasema CCM haitachukua hatua yoyote wakati barua hiyo mnayosema ni 'Fake'
inawachafua? wewe unapata picha gani?
7. Je historia ya Dr.Slaa inaonyesha kwamba ni mtu anayeweza kudanganyika kirahisi kama ambavyo unafikiria?
8. Kumbuka kwamba mwanzoni hata masuala ya EPA na Richmond yalipoanikwa CCM akiwemo Mzee Sita
walisema kuwa ni uzushi
TAFAKARI.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom