Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,794
- 71,212
Wewe ndio hujui ukisemacho. Nani kakuambia Rais ndio kila kitu? Nenda kamuulize Mbeki baada ya kuvuliwa Uenyekiti wa Chama na Zuma kilitokea nini? Ni kuwa chama kwa kawaida ndicho kiundacho serikali na kina nguvu kubwa kuliko Rais. Ujanja unaofanywa hapa na CCM ni kuhakikisha Rais anakuwa pia Mwenyekiti ili vikao vya chama visiwe na uwezo wa kumdhibiti kwa vile mwenyekiti wa chama ndio huyohuyo Rais.Mwandosya kama kasema hivyo ametusaidia watz kuwa Magufuli sio zao la mfump mbaya wa ccm!Vinginevyo hujui hierachy ya nchi, Rais ndio kila kitu chama baadae, hivi unadhani ccm ina ubavu wa kumshinikiza kikwete?Ni bora ukae kimya kama hujui unachokisema, fanyeni kosa Lowasa awe rais kwa mfano then muone mziki wake kama kweli atawatii chadema!Sasa hivi tu kina mbowe wana yield tayari hata hajawa mgombea vipi akiwa rais
Jifunze siasa na uendeshaji wa serikali kijana kabla ya kutoka povu.